Hasheem Thabeet's Journey In The NBA

Gasol anamkaba Gasol. 😀

Naona pamoja na vikapu 44 vya The Mamba lakini bado LAL wameangukia pua.
 
..Lakers were coming frm a tough bruising contest against Celtics, and basically played to get Kobe the franchise scoring tittle. they were not at all focused on winning the game.

..Hasheem is averaging about 11 min, and 3 points, per game. those are better "numbers" compared to Andrew Bynum's rookie "numbers." I wish he was traded to a team that is willing to give him more playing time. he probably should shake things up by demanding more playing time "minutes" or a trade.
 
Kwa Thabit,

Nilikuwa mmoja wa watazamaji wa NBA game 26, nikiwa na wenzangu kwenye Executive Suite 19 kwa furaha na bashasha niliwatambulisha kuwa Thabit ni mtanzania mwenzangu. By half time wale colleagues wangu walinigeukia na kunitahadharisha kuwa kama Thabit hatokaza buti basi ataishia mkataba alionao. Japo sikukubaliana nao lakini the fact kwamba ulichezeshwa dakika 4 na sekunde 30 tu ilininyong'onyesha.

- Umebarikiwa urefu hivyo utumie vizuri
- Kuwa aggressive na ongeza confidence. Mfano wakati wa mapumziko
mlipokuwa mnafanya mazoezi ya kufunga, ulirusha mipira mara 3 tu kwenye
kikapu na muda wote ulikuwa unachukua mipira na kuwapa wenzio warushe.
Hii Ilitoa picha ya kutojiamini na kujishusha.


By the way wakati ukitoka niliona umemrushia mpenzi mmoja kitu niliona ile ni gesture nzuri ugenini. Kufunga tuliwafunga lakini nakubali timu yenu ilicheza vizuri.

Kila la heri.
 
Mh land of ten thousands lakes, are you in MN?.
 

Nakubalina nawe kabisa. Hasheem hana consistency kabisa ukilinganisha na alipokuwa Connecticut na uchezaji wake pale ndiyo ulimsababisha mpaka awe drafted 2nd baada ya yule mcheza wa Clippers. Inabidi ajitume sana ili aweze kuwa mchezaji wa kutegemewa na timu yake vinginevyo baada ya mkataba huo na Memphis sidhani kama kuna timu itamtaka. Nimewahi kuangalia mechi chache za timu yake kwenye TV na madhumuni makubwa yalikuwa ni kumuangalia Hasheem na mara nyingi muda mwingi alikuwa kwenye bench.

Bado ana muda wa kutosha kuweza kuinua kiwango cha uchezaji wake lakini ili kufanya hivyo inabidi ajitume sana na hata kufanya mazoezi zaidi katika muda wake wa binafsi.
 
kuna member wa jf humu......
zamani alisema kuwa Hasheem akija bongo
watamroga,,,,
now i remember that,could it be.......??????
ha ha ha......
 
thabeet huna choice,lazima uongeze bidii maana NBA hakuna mkato,nina uhakika ukijituma zaidi utafanikiwa na wataona juhudi zako...ongeza mazoezi na hivyo vyuma lazima unyanyue sana.
 
mazoezi baba,vinginevyo utaishia kuwa fundi viatu!!
 
Mmmmh masikini Hasheem, nilifikiri ameshauaga umasikini!!! Kumbe loh....
 
mapema sana wakuu kumpa presha dogo.mda hupo mwingi na wakutosha ku-improve game yake.at the same time ni ushauri mzuri mnampa.mie naongezea tu aache uoga sio na beba vyuma sana unahitaji nguvu naona wanakunyanyasa sana kwenye nguvu.
 

Umenena muda bado anao hivyo akiamua kujituma nina uhakika hata kama hatofikia uMVP atajihakikishia mkataba mwingine baada ya huu kuisha. Infact ulichosema kiliongelewa kuwa ilikuwaje huyu jamaa akawa drafted 2nd? Nikawakoga kuwa he is the second tallest in NBA something you can not teach a player hayo mengine atajifunza.
 
Mmmmh masikini Hasheem, nilifikiri ameshauaga umasikini!!! Kumbe loh....

Mkuu itategemea na malengo yake maana pesa aliyopata kwenye mkataba wa sasa inaweza mtoa umaskini akiinvest badala ya kuiga style ya maisha ya wachezaji wengine wa NBA. Vinginevyo akichezea pesa aliyopata sasa ahakikishe anajifua vilivyo apate mkataba mwingine.

Mndee
 
Mechi yao ya mwisho nadhani juzi na Atlanta Hawks kacheza kwa dakika 1.35 tu kati ya dakika 48 kazi kweli kweli!
 
He really needs to improve his offensive game, he doesn't score that often! My advice on personal practice: make at least 200 jump shots (inside 3 point line/especially along the lane lines and in the paint for the Centre player like you) a day, at least 100 free throws a day, do proper post-up on the low post (both sides of the court), do some basic lay ups to build up your confidence, etc....
Good luck bwoy!
 
kuna member wa jf humu......
zamani alisema kuwa Hasheem akija bongo
watamroga,,,,
now i remember that,could it be.......??????
ha ha ha......

Mkuu hajarogwa mtu ni kujituma na kuwa na malengo. Mtaka cha uvunguni sharti ainame!
 

mkuu
hizo 100/200 shots tulikuwa tunafanya wakati tunacheza bongo...huku NBA they talk about thousands shots made a day
 
mkuu
hizo 100/200 shots tulikuwa tunafanya wakati tunacheza bongo...huku NBA they talk about thousands shots made a day

Mkuu hata hizo 100/200 shots kama angekuwa anafanya ingesaidia kuimprove game yake, kama hata hizi hafanyi basi iko hatari ya kuendelea kuwekwa benchi mpaka mkataba uishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…