[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]mkuu we ndo umeua kabisa!Mkuu watu hawajui jinsi ambavyo ni rahisi kwa mtu kama yule kufilisika. Hana investment yoyote, hana kitegauchumi, hana biashara, hana assets, hana chochote kinachomuingizia kipato zaidi ya huo uchezaji! Na hakuna anaejua kama kweli kwa sasa anacheza au anauza supermarket. Mimi bet yangu ni kwamba jamaa hana 10m cash kwenye akaunti kwa sasa..
Yule atarudi bongo siku akifikisha umri wa lemutuz...kwa sasa nah!Hasheem aje aongee vzr na yule boss wa kisarawe apewe shamba alime tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa kimshiko Mnyama anamzidi Hasheem[emoji16][emoji16]TID mnyamaa a.ka Wariobaaaa alimuachia laaana hahah.
Daah nimekumbuka teja hawezi kutoa laana aiseee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haMkuu hela ya kutoa tu bila kuingiza hua inakata ghafla sana bila kutegemea! Hasa kwa lifestyle ya watu maarufu. Kuna msanii mmoja mkubwa wa marekani alikua anaelezea jinsi alivyofilisika mpaka akabaki na dola 100 pekee kwenye akaunti ndio nilishangaa. Mi nakuambia Hashimu hana 10m cash hapo alipo kwa sasa [emoji3]
Eti hata 10m hana haahaa[emoji16]Hahaha nakubaliana na wewe,jamaa anapumulia mashine.
Haahaaahaaa...mbongo anasumbuliwa na jealousy mentality [emoji1787][emoji16]Daah well said bro , people are so negative sijui kwann ?
Itakuwa anapiga hela kinoma kupitia urefu wake.....ila wachina wabahili haooHana timu, yuko Guangzhou huko wanamshangaa urefu
[/QUOTE]Yawezekana!..na kama anatia timu kimyakimya basi hali ni mbaya kuliko tunavyofikiria!Au anatia mguu kimya kimya na kuondoka zake.
QUOTE="witnessj, post: 30891594, member: 280316"]Kabisa...au siku hizi bongo hatii maguu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtu amewahi kuangalia kipindi cha broke and famous, channel 132 Dstv ataelewa jinsi ilivyo rahisi kwa mtu maarufu kuporomoka kiuchumi, kama asipokuwa makiniMkuu hela ya kutoa tu bila kuingiza hua inakata ghafla sana bila kutegemea! Hasa kwa lifestyle ya watu maarufu. Kuna msanii mmoja mkubwa wa marekani alikua anaelezea jinsi alivyofilisika mpaka akabaki na dola 100 pekee kwenye akaunti ndio nilishangaa. Mi nakuambia Hashimu hana 10m cash hapo alipo kwa sasa 😀
Sio kwa bongo hii mkuu. Basket bongo haina kipaumbele kabisa. Afu serikali yetu kwenye michezo bado haijafanya investment ya kutosha. Kuwapa wale wachezaji viwanja mm naona sio kuendeleza na kusapoti michezo. Wale waliopewa viwanja watazeeka na kuacha kucheza, lkn kama hizo hela zingetumika kuinvest katika academies mbalimbali basi tungetengeza kizazi kizuri na timu ambayo inakua vzr continously ktk soka.Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya Memphis Grizzlies, endapo Thabeet ataamua kuendeleza kipaji chake kwa kuwainua vijana wa Tanzania, anaweza kutengeneza timu nzuri ya mpira wa kikapu hapa nchini. Kama ilivyo kwa wenzake waliopewa viwanja, naamini Hasheem Thabeet anaweza pia kupata ardhi nzuri mkoani Dodoma na kuangusha mjengo wa maana. Mtaa wa Wanamichezo ukajijenga mkoani Dodoma.
Nelson,
SUA-Morogoro
View attachment 1054203
Alimnunulia nyumba by that time, sasa anarudije Sinza!angekuwa analipwa hata robo ya mshahara wa Steph Curry, yaani $10m per season bado hapa bongo angeacha legacy na kufanya mengi ya maana.. Hapo tuchukulie tu hana shoe deal yeyote..
Amechezea shilling chooni, hivi mama yake bado yupo Masaki au asharudi Sinza? Hahahahaha
Kwamba ndio zilimpoteza mwamba! Tittle ya jamaa ni baller wa NBA sio mchezo! Unafikiri utazikwepa ngapi maana zinaanza kujigonga kuanzia za Primary mpaka za A level! Bado kuna zile za Chuo na unazopishana nazo Club halafu ukicheki we ndio VIP tena...lazma uwakate makofi wasanii wa bongo flava tu ambao wana waya mkali!Sio zamani mpaka sasa anaamn atarudi nba ya marekani.Aisee papuchi za mademu wa kibongo haziez zikakuacha salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mahala alipobugi ndio hapo, naskia alianza kupiga mimba totoz mbili tatu za kwa Trump. Na kule mwanamke akishajua wewe ni baller basi ujue atafanya juu chini akuzalie ili ale child support atoke kimaisha!
Jordani hamna baller anaemfikia kwa mkwanja mpaka sasa japo alistaafu kitambo! Mikataba ya Nike bado inamlipa tu!We una utan unawezaje kumlinganisha na mtu kama jordan ambae anapiga hela mpaka dakika hui
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha.....mmemu under rate sana[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]B??? Mbona umeenda mbali sana,mie nabet kama ana hata 100m Tsh sijui.