Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Mkuu watu hawajui jinsi ambavyo ni rahisi kwa mtu kama yule kufilisika. Hana investment yoyote, hana kitegauchumi, hana biashara, hana assets, hana chochote kinachomuingizia kipato zaidi ya huo uchezaji! Na hakuna anaejua kama kweli kwa sasa anacheza au anauza supermarket. Mimi bet yangu ni kwamba jamaa hana 10m cash kwenye akaunti kwa sasa..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]mkuu we ndo umeua kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au anatia mguu kimya kimya na kuondoka zake.

QUOTE="witnessj, post: 30891594, member: 280316"]Kabisa...au siku hizi bongo hatii maguu?

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
Mkuu hela ya kutoa tu bila kuingiza hua inakata ghafla sana bila kutegemea! Hasa kwa lifestyle ya watu maarufu. Kuna msanii mmoja mkubwa wa marekani alikua anaelezea jinsi alivyofilisika mpaka akabaki na dola 100 pekee kwenye akaunti ndio nilishangaa. Mi nakuambia Hashimu hana 10m cash hapo alipo kwa sasa [emoji3]
Ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hela ya kutoa tu bila kuingiza hua inakata ghafla sana bila kutegemea! Hasa kwa lifestyle ya watu maarufu. Kuna msanii mmoja mkubwa wa marekani alikua anaelezea jinsi alivyofilisika mpaka akabaki na dola 100 pekee kwenye akaunti ndio nilishangaa. Mi nakuambia Hashimu hana 10m cash hapo alipo kwa sasa 😀
Kama mtu amewahi kuangalia kipindi cha broke and famous, channel 132 Dstv ataelewa jinsi ilivyo rahisi kwa mtu maarufu kuporomoka kiuchumi, kama asipokuwa makini
 
Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya Memphis Grizzlies, endapo Thabeet ataamua kuendeleza kipaji chake kwa kuwainua vijana wa Tanzania, anaweza kutengeneza timu nzuri ya mpira wa kikapu hapa nchini. Kama ilivyo kwa wenzake waliopewa viwanja, naamini Hasheem Thabeet anaweza pia kupata ardhi nzuri mkoani Dodoma na kuangusha mjengo wa maana. Mtaa wa Wanamichezo ukajijenga mkoani Dodoma.

Nelson,
SUA-Morogoro
View attachment 1054203
Sio kwa bongo hii mkuu. Basket bongo haina kipaumbele kabisa. Afu serikali yetu kwenye michezo bado haijafanya investment ya kutosha. Kuwapa wale wachezaji viwanja mm naona sio kuendeleza na kusapoti michezo. Wale waliopewa viwanja watazeeka na kuacha kucheza, lkn kama hizo hela zingetumika kuinvest katika academies mbalimbali basi tungetengeza kizazi kizuri na timu ambayo inakua vzr continously ktk soka.

Hasheem baki zako tu huko. Huku bongo vipaji havithaminiwi. Na hilo ndo tatizo kubwa ktk hii nchi yetu katika nyanja zote, be it sports,uchumi, elimu,technology, etc...
 
Jamani kitapu ni mchezo mgumu sana. Bro alitinyanga kujisahau flani hivi, alipoona upepo unachange Nba angejiongeza hata Crevna Zvedas, morna bar ,Zadar, Helbalife Granca sababu kwa ile flop hawezi pata namba Fenerbache instanbul, Barcelona Lassa, Realmadrid , Ax Exchange Armano Milan, Zarlgis Kauna, Panathinaicos, Reggina. Basket sio football jamani dimba limekushinda ila pjanic anachafua wee anakusaidia anawapoteza wachezaji wote wa upinzani. Tunafurahigi tu kusikia mtangazaji akisema it is a one position game what a block from Nicolo Melliiii, moerman can't believe it.
 
angekuwa analipwa hata robo ya mshahara wa Steph Curry, yaani $10m per season bado hapa bongo angeacha legacy na kufanya mengi ya maana.. Hapo tuchukulie tu hana shoe deal yeyote..

Amechezea shilling chooni, hivi mama yake bado yupo Masaki au asharudi Sinza? Hahahahaha
Alimnunulia nyumba by that time, sasa anarudije Sinza!
 
Sio zamani mpaka sasa anaamn atarudi nba ya marekani.Aisee papuchi za mademu wa kibongo haziez zikakuacha salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ndio zilimpoteza mwamba! Tittle ya jamaa ni baller wa NBA sio mchezo! Unafikiri utazikwepa ngapi maana zinaanza kujigonga kuanzia za Primary mpaka za A level! Bado kuna zile za Chuo na unazopishana nazo Club halafu ukicheki we ndio VIP tena...lazma uwakate makofi wasanii wa bongo flava tu ambao wana waya mkali!
 
Back
Top Bottom