Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Duhh!hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unajua kibongo bongo ukiwa na 10m bado unaweza kusikika au kuonekana onekana walau baadhi ya sehemu za starehe. Ukiona mtu hasikiki wala haonekani kabisa popote ujue ndio ivyo tena balance haisomi πŸ˜€
Jamaa anapumulia Mashine,hata Mama yake na yeye kapotea kabisa kwenye vipindi vya redio,enzi zile kutwa alikuwa anashinda kwenye vituo vya runinga na redio kuhamasisha wananzengo kuhusu mafanikio.
 
hasheem hayupo nba.. yupo japan ila hela anayo ya kutosha tu
Suala siyo hela, ni kujitambua. Tunajadili mafanikio ya taaluma aliyochagua. Kama ni hela hata wacheza porno wanapata kibao!
 
Jamaa wa Kongo ni Dikembe Mutombo. Ni jamaa safi na anajitambua sana. Hata baada ya michezo yake sasa ni philanthropist. Kama ulivyosema siyo mtu wa kujikuza na kila wakati anakubali umaskini wa DRC hadi alipojenga hospitali kubwa Congo, alipewa misaada sana! Huyu mwenzetu alihangaikia kuwakoga wa-TZ wenzake badala ya kuwasaidia. Hapo unahitaji kujitambua. Lazima kichwani uwe bora. SIyo mtu anayeigiza kusahau kiswahili.
 
Aseee[emoji848]...unazungumzia nini mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa anapumulia Mashine,hata Mama yake na yeye kapotea kabisa kwenye vipindi vya redio,enzi zile kutwa alikuwa anashinda kwenye vituo vya runinga na redio kuhamasisha wananzengo kuhusu mafanikio.
Bwahaaaaaahhaa....mamammae mbongo nuksi[emoji1787][emoji1787]

Bado mama D...mbibi ana sifa yule khaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
akifika umri wa kina pita tino atarud

Sent usingJamii Forums mobile app
 
Alikuwa Didier Mbenga kaka sio Mutombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…