Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Duhh!hatariMkuu hela ya kutoa tu bila kuingiza hua inakata ghafla sana bila kutegemea! Hasa kwa lifestyle ya watu maarufu. Kuna msanii mmoja mkubwa wa marekani alikua anaelezea jinsi alivyofilisika mpaka akabaki na dola 100 pekee kwenye akaunti ndio nilishangaa. Mi nakuambia Hashimu hana 10m cash hapo alipo kwa sasa [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app