Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya Memphis Grizzlies, endapo Thabeet ataamua kuendeleza kipaji chake kwa kuwainua vijana wa Tanzania, anaweza kutengeneza timu nzuri ya mpira wa kikapu hapa nchini. Kama ilivyo kwa wenzake waliopewa viwanja, naamini Hasheem Thabeet anaweza pia kupata ardhi nzuri mkoani Dodoma na kuangusha mjengo wa maana. Mtaa wa Wanamichezo ukajijenga mkoani Dodoma.

Nelson,
SUA-Morogoro
View attachment 1054203
Anamiliki paspoti ya nchi gani kama ni USA imekula kwake,shida hatuna uraia wa nchi Mbili
 
Kipato cha nusu saa cha mtoaji
Kaa hukohuko ule unavyokula ukirudi huku utangoja miaka 40 kutambuliwa mchango wako na kupata zawadi ambayo wakati huo itakuwa haina thamani. Tino angezawadiwa kiasi hicho wakati wake angetajirika. Juzi amepewa sawa na mshahara wa wiki mbili wa mtoaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kumsikiliza alirudi likizo,alikuwa anaongea Kiswahili cha Marekani ,nilishangaa sana,nilimuona ana majivuno,limbukeni,...Kitaalamu tunasema Hajitambui(sijui sasa) Ingekuwa ni maajabu makubwa kama angeendelea kutamba kwenye kile kilichomuinua,kwa kiwango kile cha ushamba!
Ushamba kuongea kiingereza mkuu ? Yaani ww unataka umpangie mtu aongee unavyotaka ww
 
Naamini huyu kijana akikumbuka tu home this year, analamba ardhi Dodoma. Halafu kujenga atachukua muda mchache tu maana mpunga anao
Huko Dodoma hata bila kupewa ardhi anaweza akawa na viwanja kadhaa maana baba yake ana asili ya Dodoma na alishafanya kazi miaka ile iliyopita mpaka miaka ya 90 kuelekea 2000 kwenye taasisi zenye unasaba na CDA ambapo watumishi wote walikuwa wana viwanja vya kutosha kwenye maeneo yote mazuri ya mji wa Dodoma na wengine wamewachukulia mpaka watoto wao
 
Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya Memphis Grizzlies, endapo Thabeet ataamua kuendeleza kipaji chake kwa kuwainua vijana wa Tanzania, anaweza kutengeneza timu nzuri ya mpira wa kikapu hapa nchini. Kama ilivyo kwa wenzake waliopewa viwanja, naamini Hasheem Thabeet anaweza pia kupata ardhi nzuri mkoani Dodoma na kuangusha mjengo wa maana. Mtaa wa Wanamichezo ukajijenga mkoani Dodoma.

Nelson,
SUA-Morogoro
View attachment 1054203

Jamani watanzania tuwe na huruma. Hali ya Hasheem ni mbaya sana kifedha. KWa sasa anafanya kazi za kubangaiza Japan. Analipwa hela dogo sana. Anakuja Dar siku hizi anajificha siyo kama zamani
 
Huko Dodoma hata bila kupewa ardhi anaweza akawa na viwanja kadhaa maana baba yake ana asili ya Dodoma na alishafanya kazi miaka ile iliyopita mpaka miaka ya 90 kuelekea 2000 kwenye taasisi zenye unasaba na CDA ambapo watumishi wote walikuwa wana viwanja vya kutosha kwenye maeneo yote mazuri ya mji wa Dodoma na wengine wamewachukulia mpaka watoto wao
Umeongea ukweli braza, mi sikutaka kulisems hili
 
Kwan umesikia anashindwa kumilik kiwanja dodoma??
Yaan na akil zako unataka kunambia jamaa afanye hayo uliyomshauri kisa??na yy apewe fadhila kama hizo??
Hapo sasa utakua ujinga.Maana hapo hakuna mision wala vision ya msingi.
Kama ni kiwanja au ardh huyu jamaa anaweza akamiliki popote pale nchi hii kwa gharama zake mwenyewe.
 
Hasheem kasanda mkuu,era yake imepita,alipata shot kaharibu,liwe funzo kwa wengine,jamaa alipata fedha sana mwaka 2009 -2010 alifanya kufuru,alinunua hummer akanunua Range Rover Vogue,kutwa yupo TZ show off Mlimani city na kina JOKATE,kutwa kushinda CLUB kunywa pombe na kupigana na kina TID wakati wenzake wapo Camp wanafanya Mazoezi 24 hrs.
 
Back
Top Bottom