Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Hasheem Thabit, kumbuka nyumbani ule mema ya nchi

Nimeona video Moja jamaa alishawahi fanyaga Clinic ya Basketball hapa Bongo miaka ya nyuma na alikuwa yeye pamoja na Steph Curry ..It seems like walikuwa washikaji enzi hizo ndo wanaingia NBA .
Ile video ilinisikitisha mno nikicheki level ambayo Hasheem yupo compare na Curry .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea Jambo la maana. Kuna wakati niliona mahojiano ya capital tv sports kolowa akimuhoji mchezo wa asili ya Kongo alishinda mataji nba nimemsahau Jina akawa anasema mafanikio ni kufanya mazoezi makali/ magumu bila kuacha na nidhamu ya hali ya juu kiasi kwamba kila unapopiga hatua ya mafanikio unajiona hujafanya kitu na una njaa ya kufanikiwa zaidi hata ukichukua ubingwa bado unakuwa na kiu ya kufanikiwa zaidi. Starehe inakuwa mbali, kula hovyohovyo mbali, Uvivu mbali.curry, Lebron, Jordan,kobe nk wanamihela lakini ni humble watu wa kujishusha , wana nidhamu kwa kocha na Ajira zao. Hashim Hana kipaji ni urefu ndiyo ulimsaidia ameshindwa kujiendeleza amepoteza nafasi. Hasara kwake na Tanzania maana angefanikiwa nba ingezidi kutafuta vijana wengine wa kitanzania
Dekembe Mutombo wa Congo ni Legendary na mpaka sasa ni Balozi wa NBA Africa.. The guy is rich, very rich na ulichosema ni sahihi kabisa, Lebron James, Steph Curry pamoja na vipaji vyao vikubwa walivyokuwa navyo ila season ikiisha wanajipa likizo ya wiki mbili tu wanarudi gym kutrain kwa ajili ya msimu ujao.

Hasheem yeye season imeisha kaja kupiga watu mitama club, kubadilisha club kila uchao na kubadilisha wanawake.. Kuna siku alimtukana mtoto wa Dr. Charles Kimei pale Maisha Club alafu anawaambiwa waiters watoe champagne zote za gharama pale na akawaambia watu wanywe atazilipia..

Fujo zote hizo sasahivi akirudi bongo anajificha Sinza..
 
Hapa ni mungine. Mutombo namjua. Mutombo mafanikio yake yalifungua njia kwa wakongo wenzake kupata nafasi kwenye nba
Hakeem olujuwan alifungua mlango kwa wanigeria wenzake
Kama sio Mutombo basi ni Serge Ibaka ambaye mpaka sasa anakipiga Toronto Raptors. Ni mchumba wa msanii Keli Hilson
 
angekuwa analipwa hata robo ya mshahara wa Steph Curry, yaani $10m per season bado hapa bongo angeacha legacy na kufanya mengi ya maana.. Hapo tuchukulie tu hana shoe deal yeyote..

Amechezea shilling chooni, hivi mama yake bado yupo Masaki au asharudi Sinza? Hahahahaha
JoJo jokate nae alikuwa na ndoto za kuwa NBA wife hahahah huwezi jua angekuwa anachill party na akina ayesha curry hahahah

Baadae ya jamaa kuzingua NBA akamtema jamaa saivi DC kisarawe na somebody mistress

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JoJo jokate nae alikuwa na ndoto za kuwa NBA wife hahahah huwezi jua angekuwa anachill party na akina ayesha curry hahahah

Baadae ya jamaa kuzingua NBA akamtema jamaa saivi DC kisarawe na somebody mistress

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kama jamaa angemuoa au hata kumchumbia JoJo angekuwa still labda yupo NBA bado.. JoJo ana akili sio kama akina Wema..

Na ukichunguza kwa makini mastaa wengi wa NBA wanaoa mapema sana, angalia Lebron, Steph, Kobe walioa mapema sana na hawana scandal za kujinga jinga kabisa za Wanamake..

Hii inaniaminisha mwanamke mwenye akili ana msaada mkubwaa sana kwenye mafanikio ya mwanaume..

Hahahaha eti angekuwa ana chill na kina Ayesha Curry, nimecheka sana kaka..
 
Nimeona video Moja jamaa alishawahi fanyaga Clinic ya Basketball hapa Bongo miaka ya nyuma na alikuwa yeye pamoja na Steph Curry ..It seems like walikuwa washikaji enzi hizo ndo wanaingia NBA .
Ile video ilinisikitisha mno nikicheki level ambayo Hasheem yupo compare na Curry .

Sent using Jamii Forums mobile app
Curry aliendaga hadi kigoma makambi ya wakimbizi kutoa net

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kama jamaa angemuoa au hata kumchumbia JoJo angekuwa still labda yupo NBA bado.. JoJo ana akili sio kama akina Wema..

Na ukichunguza kwa makini mastaa wengi wa NBA wanaoa mapema sana, angalia Lebron, Steph, Kobe walioa mapema sana na hawana scandal za kujinga jinga kabisa za Wanamake..

Hii inaniaminisha mwanamke mwenye akili ana msaada mkubwaa sana kwenye mafanikio ya mwanaume..

Hahahaha eti angekuwa ana chill na kina Ayesha Curry, nimecheka sana kaka..
Umeongea big point. Watu wanaweza kuchukulia utani.
 
Yes TID alilambwa mitama ya kufa mtu mpaka akazima hahahahaha
Duh angalia sasa ameacha legacy mbaya badala ya kukumbukwa kwa mazuri. Unajua dogo alitakiwa awe mfano wa kuigwa kwa mazuri. Sasa kama kuna madogo walimwona na mitama yake wataenda ku practice mitaani na mitaa itazidi fujo
 
Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya Memphis Grizzlies, endapo Thabeet ataamua kuendeleza kipaji chake kwa kuwainua vijana wa Tanzania, anaweza kutengeneza timu nzuri ya mpira wa kikapu hapa nchini. Kama ilivyo kwa wenzake waliopewa viwanja, naamini Hasheem Thabeet anaweza pia kupata ardhi nzuri mkoani Dodoma na kuangusha mjengo wa maana. Mtaa wa Wanamichezo ukajijenga mkoani Dodoma.

Nelson,
SUA-Morogoro
View attachment 1054203
Huyu huyu ambaye kiswahili amesahau siku hizi?
 
Naona hatuelewani, umesema kachezea shilingi, mimi nasema hapana kwasababu kile ndio kiwango chake.
Hivi unajua unachoongea au ni ushabiki. Hivi unajua mpaka uingie NBA unatakiwa uwe umepitia nini na nini? Au unafikiri alichukuliwa tu eti sababu ni mrefu? Huo urefu wake kule US sio big deal labda hapa kwetu walikojaa maandunje..
 
Hata mimi nimekumbuka mbali kaka.1994/1995 nimeanza kuangalia kwenye tv nba nikawaona kina Jordan, Barkley. Pipen, rodman ,hill,iverson,johnson nk
Kipindi hicho ITV, ctn walikuwa wanaonyesha mechi nikaanza kuvutiwa na basketball maana mwanzoni nilipenda football tu. nikaenda kuangalia mazoezi na Jamaa yangu uwanja wa pazi tanesco drive in kipindi hicho mzee Malai ndiyo mfadhili wa pazi , uwanjani pazi ikawa na vijana wengi wadogo akiwemo patrick nyembela, kuna mkongo walimsajili pandikizi la mtu sijui aliishia wapi. Mzee malai akawapeleka ziara ya USA
Yes ni kweli mkuu
 
Back
Top Bottom