jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,408
- 2,184
Nimeona video Moja jamaa alishawahi fanyaga Clinic ya Basketball hapa Bongo miaka ya nyuma na alikuwa yeye pamoja na Steph Curry ..It seems like walikuwa washikaji enzi hizo ndo wanaingia NBA .
Ile video ilinisikitisha mno nikicheki level ambayo Hasheem yupo compare na Curry .
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile video ilinisikitisha mno nikicheki level ambayo Hasheem yupo compare na Curry .
Sent using Jamii Forums mobile app