Hashim Rungwe: Afande Theopisha Mallya ndiye aliyewatuma vijana kufanya ubakaji

Hashim Rungwe: Afande Theopisha Mallya ndiye aliyewatuma vijana kufanya ubakaji

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Angalia mahojiano kati ya Manara Tv na mwanasiasa na wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mfanyabiashara wa magari ndugu Hashim Spunda Rungwe, kuanzia dakika ya 35:09 anaulizwa kuhusiana na aliyetuma wale vijana wahovyo kufanya ubakaji.

Majibu yake ni kuwa aliyewatuma ni aliyekuwa RPC wa Dodoma afande Theopista Mallya.


View: https://youtu.be/t5jEovHFkgI?si=EAdo0cKktmBNgY1c

My take: Manara tv mnawajibika kwa hili ikiwa taarifa hizi zitabainika kuwa si zakweli.
 
Angalia mahojiano kati ya Manara Tv na mwanasiasa na wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mfanyabiashara wa magari ndugu Hashim Spunda Rungwe, kuanzia dakika ya 35:09 anaulizwa kuhusiana na aliyetuma wale vijana wahovyo kufanya ubakaji.

Majibu yake ni kuwa aliyewatuma ni aliyekuwa RPC wa Dodoma afande Theopista Mallya.


View: https://youtu.be/t5jEovHFkgI?si=EAdo0cKktmBNgY1c

My take: Manara tv mnawajibika kwa hili ikiwa taarifa hizi zitabainika kuwa si zakweli.

Hatari
 
Nawaza hapa Rungwe angekua my president mpaka muda huu watoto pale nyumbani vitumbo ndii kwa ubwabwa wife mpaka anaamua apike pilau apike biliani apike wali mweupe haya tuna kizimkazi sasa mama ake Dotto magari tutafanyaje🤣🤣
 
Ila bhana mzee rungwe ni kivuruge kweli kweli hahaah.

Hii ni habari mpya sana
 
Huyu mzee tena , labda aseme afande Theopista na kila NYundo ni ndugu kabisa.
 
Angalia mahojiano kati ya Manara Tv na mwanasiasa na wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mfanyabiashara wa magari ndugu Hashim Spunda Rungwe, kuanzia dakika ya 35:09 anaulizwa kuhusiana na aliyetuma wale vijana wahovyo kufanya ubakaji.

Majibu yake ni kuwa aliyewatuma ni aliyekuwa RPC wa Dodoma afande Theopista Mallya.


View: https://youtu.be/t5jEovHFkgI?si=EAdo0cKktmBNgY1c

My take: Manara tv mnawajibika kwa hili ikiwa taarifa hizi zitabainika kuwa si zakweli.

Yaani asiwajibike aliyesema kiwajibike kituo cha Televisheni?

Wewe unatumia nini kufikiria?
 
Nawaza hapa Rungwe angekua my president mpaka muda huu watoto pale nyumbani vitumbo ndii kwa ubwabwa wife mpaka anaamua apike pilau apike biliani apike wali mweupe haya tuna kizimkazi sasa mama ake Dotto magari tutafanyaje🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Angalia mahojiano kati ya Manara Tv na mwanasiasa na wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mfanyabiashara wa magari ndugu Hashim Spunda Rungwe, kuanzia dakika ya 35:09 anaulizwa kuhusiana na aliyetuma wale vijana wahovyo kufanya ubakaji.

Majibu yake ni kuwa aliyewatuma ni aliyekuwa RPC wa Dodoma afande Theopista Mallya.


View: https://youtu.be/t5jEovHFkgI?si=EAdo0cKktmBNgY1c

My take: Manara tv mnawajibika kwa hili ikiwa taarifa hizi zitabainika kuwa si zakweli.

Sawa alituma ila hakufanya kitendo, nikikutuma kuiba ba ukaiba mimi sihusiki.
 
Back
Top Bottom