Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Angalia mahojiano kati ya Manara Tv na mwanasiasa na wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mfanyabiashara wa magari ndugu Hashim Spunda Rungwe, kuanzia dakika ya 35:09 anaulizwa kuhusiana na aliyetuma wale vijana wahovyo kufanya ubakaji.
Majibu yake ni kuwa aliyewatuma ni aliyekuwa RPC wa Dodoma afande Theopista Mallya.
View: https://youtu.be/t5jEovHFkgI?si=EAdo0cKktmBNgY1c
My take: Manara tv mnawajibika kwa hili ikiwa taarifa hizi zitabainika kuwa si zakweli.
Majibu yake ni kuwa aliyewatuma ni aliyekuwa RPC wa Dodoma afande Theopista Mallya.
View: https://youtu.be/t5jEovHFkgI?si=EAdo0cKktmBNgY1c
My take: Manara tv mnawajibika kwa hili ikiwa taarifa hizi zitabainika kuwa si zakweli.