Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Sijawaelewa hata kidogo DPW atawekeza Tanzania!,piga kelele wee hazitasaidia lolote!Hela mlizohongwa mtazikunya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawaelewa hata kidogo DPW atawekeza Tanzania!,piga kelele wee hazitasaidia lolote!Hela mlizohongwa mtazikunya
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.
Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.
Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.
Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.
Unaweza kumsikiliza hapa:
😅😅Hela mlizohongwa mtazikunya
Huyu Mzee ameshazeeka apumzike sasa alee wajukuu,hafahamu ya kuwa biashara za sasa zinaendana na influence ya muwekezaji, (chain types of tradings) unaweza weka managent hapo na ukapiga mihayo na mizigo ukapata kiducho,due to lack of influence!
Intelegent point ni tunataka Ku trade high au tunataka Ku trade low! We have to choose a way, mtanzania akishapata ugali kibanda Kagari ,haoni mbele tena !
-RAIS WANGU SAMIAH,SONGA MBELE LETS MOVES FORWARD NO TIME TO WASTE!
-Bandari ikiwekezwa vizuri ikaleta tija tarajiwa,waelewa tunafahamu ya kuwa makodi kodi ya hovyo yatapungua huku mitaani,au kufutwa,kodi za Magari zitashuka na mengi tu,kwa sababu SEREKALI itakuwa na vyanzo ambavyo havisababishi mtanzania kuminywa!/kukamuliwa hali ya watoto kupata bulga itarudi madaftari bure mashuleni itarudi na mengi tu.
sakata lipo ktk hatua ipi?