Hashim Rungwe ahoji: Mtauzaje Bandari zetu?

Wazalendo wootw hawajaridhika na hili swala
 
Kama kuna jema katika hili la mkataba wa dpw,mbona serikali haizungumzii vipengele vya mkataba badala yake inazungumzia uwezo wa dpw na faida ya uwekezaje au ndio zilezile story za gasi na bomba la mafuta,acheni kuwaona watanzania wajinga kwa kuwa mmeshakula hela ya waarabu.
 
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 

Ndio mnadanganyana na Bi Samia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…