Pre GE2025 Hashim Rungwe atuma salamu za pongezi kwa Tundu Lissu kufuatia ushindi alioupata kwenye uchaguzi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Hishim Rungwe Spunda ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Tundu Lissu kufuatia ushindi alioupata kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho uliohitimishwa leo, Jumatano Januari 22.2024.

Soma Pia:

Your browser is not able to display this video.
 
Uyu ndo mpinzani wakweli sasa
 
CCM hawajakomaa kisiasa mbona wamenuna?!
 
Huyu mzee huwa hana ubaya na mtu, ila Magufuli alimuweka ndani kwa kukataa kutikia wito wa kufuata maelekezo.
 
Mzee hashimu fanya mpango wa ubwabwa vijana wa dar wana njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…