Kweli kabisa Mkuu angalia mfano wa wanasiasa wetu wanavyosaliti wapiga Kura wao kwaajili ya njaaAnajua kabisa shida ya wabongo inaanzia tumboni na kusambaa hadi kichwani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kunauwezekano mkubwa tunamchukulia kiurahisi, ila akawa ndo daraja kuu la nchi yetu kufika sehemu nzuri inayostahili.
Mzee Rungwe wewe ni legendary katika siasa za upinzani Tanzania. Kinachosaidia akili mzee ni protein kwa wingi, ongeza dau ugawe mayai na maziwa kwa watoto mashuleni.
Namkubali sana huyu mzee ana siasa za kiungwana sana!Sera zake nzur, watanzania tu tunafeli kumuelewa, tunaishi kwa kukariri
Pia aliwahi kusema kwamba....Wapinzani hamueleweki, hamna umoja, wengine wanaunga juhudi na Mgombea wa Chama tawala, wengine mnasubiri kupigiwa kura online (sielewi kampeni mtafanyia Zoom?). Baadhi mnaahidi ubwabwa mashuleni,akili zichaji. Jipangeni 2030 mpaka Sasa 2020, 2025 mmeshapoteza pambano. Oneni zoezi la kura za maoni Chama tawala lilivyovuta hisia za Watanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848]Hashim Rungwe Spunda ametia nia kugombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa tiketi ya CHAUMA
Amesema, "Sera yangu ya kuimarisha lishe kwa watanzania bado iko palepale. Nitahakikisha Mtanzania anakuwa na uwezo wa kula kuku mzima na wanafunzi wale ubwabwa mara kwa mara. Elimu bure bila lishe bora haina tija, hata viwanda bila lishe bora haviwezi kuzalisha kwa manufaa"
View attachment 1509973