Mtu anayeita Hamas ,Houthis , Hezbollah ni magaidi huyo definitely ni mpumbavu asiyejua maana halisi ya gaidi !
Magaidi ni creations za United States ,hizo ISIS ,Alqaida ,Alnusra nk kulinda maslahi yake duniani na kutumika kama pretext ya kukandamiza wanaopingana naye .
Acheni upuuzi wa kuandika magaidi
Fools
Leo hii Taliban ni serikali kamili na wamepugana na US Kwa muda mrefu wakitaka kurudisha mamlaka yao na wakaitwa magaidi ,leo hii sijui bado ni magaidi ?
Na huyo huyo US Ndio kawachia madaraka ,sasa na Taliban waitwe magaidi sasa ,maana ni serikali kamili kwa sasa
Magaidi ni creations za United States ,hizo ISIS ,Alqaida ,Alnusra nk kulinda maslahi yake duniani na kutumika kama pretext ya kukandamiza wanaopingana naye .
Acheni upuuzi wa kuandika magaidi
Fools
Leo hii Taliban ni serikali kamili na wamepugana na US Kwa muda mrefu wakitaka kurudisha mamlaka yao na wakaitwa magaidi ,leo hii sijui bado ni magaidi ?
Na huyo huyo US Ndio kawachia madaraka ,sasa na Taliban waitwe magaidi sasa ,maana ni serikali kamili kwa sasa