Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Yes. He is right. The Mujaheddin.Netanyahu anasema anapambana na radical Muslims.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes. He is right. The Mujaheddin.Netanyahu anasema anapambana na radical Muslims.
Chanzo cha habari ni kutoka marekani labda umuulize yeyeMlijuaje 100% ni kazi ya USA? Mbona ni kama "hayo ni maneno ya mkosaji" Kama mlijua si mngejipanga kukabiliana i.e. counter offensive? Nawapa tu ushauri wa Bure: Nendeni mkayatibu majeraha yenu halafu ndipo mrudi na mjikite kutafuta suluhu kwa njia ya mazungumzo. Hiyo ngoma (vita)achaneni nayo hamuwezi kuicheza broo; hiyo ni kitu ingine sio singeli hiyo.
Lebanon ni nchi huru haikaliwi na Israel wanaisaidia palestina kama unavoona wa Yemen.Hadi lebanon pia ipate uhuru toka kwa wapalestina walioimega nchi yao leo wanaitwa Hezbollah
Na hiyo jihad yenu hamtokaa mfanikiwe mpaka kiama, sana sana mtakuwa watu wa kulia Hadi mwisho wa Dunia. Binadamu Gani nyie msioweza kuishi na wenzenu vzr?? Mmekaaa kishari Shari muda wote.Jihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Safi naona umekiri kuwa bila Marekani Israeli hawezi Fanya lolote .karibu kuwaelimisha na wenzio sasa. Trump hamtaweza kuwa Rais wa marekani.Tumeona na kapete kake kakufugia majini , ngoja trump aingie anawafuta kabisa, , hapa tu presidenti ni mzee mzima ovyo Bidden akiingia Trump hacheleweshi
Unajikuta muislaaam,upo tu nyuma ya keyboard unaandika unavyotaka ukiambiwa leo kapiganie dini unaanza sababu ooh nina shughuli nyingi za kufanya wanangu hawajakua.Jihadi Huwa inaendelezwa mpaka mwisho wa vita Aidha ushinde au ushindwe labda wauee waislamu wote huku duniani . Kazi Bado ipo sana tuu msijipe moyo vibaraka wa wayahudi .
Ok. Sawa.Chanzo cha habari ni kutoka marekani labda umuulize yeye
Wewe watu wakija kwenye nchi Yako wakakutawala utakubali? Palestina itapata Uhuru wake iwe jua iwe mvua.Na hiyo jihad yenu hamtokaa mfanikiwe mpaka kiama, sana sana mtakuwa watu wa kulia Hadi mwisho wa Dunia. Binadamu Gani nyie msioweza kuishi na wenzenu vzr?? Mmekaaa kishari Shari muda wote.
Halafu sasa Mimi ni mkatoliki Tena OG ili sipendi upuuzi wa Israeli kwa wapalestina. Mbona Nyerere alikuwa mkatoliki kama Mimi na alipinga upuuzi wa Israeli kwanini hamkumuita muislamu? Msinibaguwe kutokana na msimamo wangu na sitabadili msimamo wangu.Unajikuta muislaaam,upo tu nyuma ya keyboard unaandika unavyotaka ukiambiwa leo kapiganie dini unaanza sababu ooh nina shughuli nyingi za kufanya wanangu hawajakua.
Jamaa unadhani vita mchezo eeh!
Ila safari hii, naona Myahudi kawaletea dawa mpya anawanywesha kule. Tusubiri hiyo dawa iwaingie sawa sawa labda akili zitawakaa vizuri.Na hiyo jihad yenu hamtokaa mfanikiwe mpaka kiama, sana sana mtakuwa watu wa kulia Hadi mwisho wa Dunia. Binadamu Gani nyie msioweza kuishi na wenzenu vzr?? Mmekaaa kishari Shari muda wote.
Huwajui waislamNaamini kwenye nafasi hizi hakuna kuleteana majungu au kulogana ili uipate. Hapa kupata hii chance ni death sentence, muda wowote unapotea
Itakua huwajui waislam,hapo ndo wamepata cha kufanyaIla safari hii, naona Myahudi kawaletea dawa mpya anawanywesha kule. Tusubiri hiyo dawa iwaingie sawa sawa labda akili zitawakaa vizuri.
Watanyooka tu wao si wanajifanyia visilani!!Ila safari hii, naona Myahudi kawaletea dawa mpya anawanywesha kule. Tusubiri hiyo dawa iwaingie sawa sawa labda akili zitawakaa vizuri.
Stick kwenye hoja ya uislam,unaingiza ukatoliki wa kazi gani?Halafu sasa Mimi ni mkatoliki Tena OG ili sipendi upuuzi wa Israeli kwa wapalestina. Mbona Nyerere alikuwa mkatoliki kama Mimi na alipinga upuuzi wa Israeli kwanini hamkumuita muislamu? Msinibaguwe kutokana na msimamo wangu na sitabadili msimamo wangu.
Hujaenielewa pamoja na mifano yote niliyokupa pole sana.Stick kwenye hoja ya uislam,unaingiza ukatoliki wa kazi gani?
Wewe umesema habari za wauwe waislam wote duniani nikakwambia wewe leo ikitokea umeambiwa ukaupiganie huo uislam utatoka?wengi mnakuwa excited ikija nafasi kufanya wanachofanya wenzenu muwafariji hamtaki
Kawatetee wenzio wanaumia huko, yani wewe jihad Yako unafanyia nyuma ya kibod wakati wenzio wako front wanateketezwa???Wewe watu wakija kwenye nchi Yako wakakutawala utakubali? Palestina itapata Uhuru wake iwe jua iwe mvua.
Hoja mfu,kwa sasa tukubaliane kutokubalianaHujaenielewa pamoja na mifano yote niliyokupa pole sana.
Mkuu unaumia Nini Mimi kuwatetea wapalestina? Mbona wewe unawasapoti wa Israeli kuwaua wapalestina.Kawatetee wenzio wanaumia huko, yani wewe jihad Yako unafanyia nyuma ya kibod wakati wenzio wako front wanateketezwa???
Jamaa anajikuta mwaaamba ukimtoa nje saa nane usiku ukazima taa ghafla kukawa giza haja zote zitamtoka.Kawatetee wenzio wanaumia huko, yani wewe jihad Yako unafanyia nyuma ya kibod wakati wenzio wako front wanateketezwa???