Hashpuppi ahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela kwa makosa ya utakatishaji fedha

Hashpuppi ahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela kwa makosa ya utakatishaji fedha

Una uhakika kuna visivyojulikana au una-speculate tu? Naona unataka kulazimisha kwamba jamaa alikuwa bonge la mjanja wakati alikuwa anaji-expose mpaka kakamatwa kifala tu.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Alikuwa bonge la mjanja ingawa ni mjanja limbukeni, hata Wabongo malimbukeni wapo yaani pesa anaitafuta 'kimafia' halafu anafanya showoff za kijinga.
Naishi nao sana Wapopo, two decades plus nimekuwa nikijichanganya nao nawajua sana. Si kwamba wana akili sana lakini ni wapiganaji, wana network si za kitoto na wana mbinu za kupenya na ku- beat mifumo.
Syndicate ya akina Hushpappi ipo na inaendelea kupiga kila uchwao, wapo wengi 'underwater' ambao wanaendeleza pilika kama kawaida.
 
Alikuwa bonge la mjanja ingawa ni mjanja limbukeni, hata Wabongo malimbukeni wapo yaani pesa anaitafuta 'kimafia' halafu anafanya showoff za kijinga.
Naishi nao sana Wapopo, two decades plus nimekuwa nikijichanganya nao nawajua sana. Si kwamba wana akili sana lakini ni wapiganaji, wana network si za kitoto na wana mbinu za kupenya na ku- beat mifumo.
Syndicate ya akina Hushpappi ipo na inaendelea kupiga kila uchwao, wapo wengi 'underwater' ambao wanaendeleza pilika kama kawaida.

Hashipappi ange lay low yasingemkuta ,showoff nyingi sana mpaka wenye dunia wakasanuka na kuanza kumlia timing.
 
Pesa zilizokuwa kwenye mazingira yanayojulikana na assets zilizo kwenye jina lake vinaweza kuwa frozen lakini visivyojulikana(of course ndiyo huwa vingi na more valuable) vitapona.
Hahahah hivi unajua forensic Auditing wewe? Ni kwamba Kila mtu aliyekua kwenye chain Yako wanaangalia movement za miamala, hivi unajua mpaka wanamkamata hushpuppi wangapi walikua wamedakwa? Ni mnyororo mzima so hata mwanasheria wako, sijui "financial consultant", na watu wengine feki wanatumika kutakatisha Hela watadakwa tu maana hiko kitu Cha kumiliki Hela kwa jina tofauti wanakijua.

So wanachofanya ni kuangalia pattern ya miamala na kujua account ziko wapi kama ni Maldives n.k watazifunga tu kwa kigezo Cha money laundering scheme na hakuna kitu utafanya hata kama hauhusiki.

Na sio FBI hata FIU ya Bongo wanafanya hiyo kitu
 
N sawa. Lakn kwa kufungwa marikani kias flan sio mbaya saaana maana jela zao zina utu.

Wangemfunga naigeria huko ndo jamaa angedata kbsa.

Dola mil 24 kutoa 1.7 = 22.3. Bafo ana ukwasi wa kutosha akinaliza kifungo
Nani kakudanganya kwamba jela za US zina utu?
 
Hahahah hivi unajua forensic Auditing wewe? Ni kwamba Kila mtu aliyekua kwenye chain Yako wanaangalia movement za miamala, hivi unajua mpaka wanamkamata hushpuppi wangapi walikua wamedakwa? Ni mnyororo mzima so hata mwanasheria wako, sijui "financial consultant", na watu wengine feki wanatumika kutakatisha Hela watadakwa tu maana hiko kitu Cha kumiliki Hela kwa jina tofauti wanakijua.

So wanachofanya ni kuangalia pattern ya miamala na kujua account ziko wapi kama ni Maldives n.k watazifunga tu kwa kigezo Cha money laundering scheme na hakuna kitu utafanya hata kama hauhusiki.

Na sio FBI hata FIU ya Bongo wanafanya hiyo kitu
Una akili kubwa sana! 🙌🏾👍🏾
 
Miaka michache sana hiyo, jamaa kavuna sana pesa...
 
Back
Top Bottom