Hashtag Kataa Eacop: Vijana wa CHADEMA Wanatumika na Wanaharakati

Hashtag Kataa Eacop: Vijana wa CHADEMA Wanatumika na Wanaharakati

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
CHADEMA na kale kakundi ka @MariaSTsehai wanapush hushtag #KataaEACOP kwa lengo la kudhoofisha ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda mpaka bandari ya Tanga. Acheni kutumika kiboya.

Screenshot_20240719_044115_X.jpg
Screenshot_20240719_044245_X.jpg
Screenshot_20240719_044308_Parallel Space.jpg


EACOP stand for East African Crude Oil Pipeline. Ni kampuni lenye share holders wanne yani TotalEnergies, CNOOC, UNOC and TPDC..

Kabla ya kuwahitaji wafuasi wako waukatae mradi huu wa usafirishaji wa mafuta ghafi, wape ELIMU kwanza ili wajue ni kwanini wanahitajika kuukata.
 
Sisi kama nchi ni beneficiaries wa moja kwa moja wa mradi huu. Kila pipa la mafuta litakalopita, tutakuwa na tozo yetu tunakusanya. Ubaya wa EACOP ni nini? Ina tofaut gan na TAZAMA pipeline?

Kuna imperialists wanataka Africa ijitegemee kwa nishati? Unadhani walipenda Stiegler ilipoanza kujengwa?
 
Kwenye mradi huo nasimama kama mwana nchi na siyo mwanachama wa chama fulani
Liwake jua, inyeshe mvua, bomba litajengwa tu.

Wakati sisi tunajaribu kuhujumu maendeleo yetu kwa kisingizio cha mazingira, duniani kote wanapohubiri mazingira bado wanafanya tafiti na kuchimba mafuta na gesi kwa ajili ya uchumi wao.

Sisi kamradi kamoja kadogo tunahujumiana.
 
Back
Top Bottom