Hasimamishi tena toka alipopata ajar nifanyeje?

Hasimamishi tena toka alipopata ajar nifanyeje?

DA ndo mana mimi nasema hapa kuna zaidi ya ajali, upate ajali umfiche mkeo why jamani?
<br />
<br />
Mjinga sana huyu jamaa watu wana BP za kupanda lkn wanaambiwa na kufiwa na mtoto mkononi wanazimia na kuzinduka sembuse ajali ujinga mtupu hata sijui upendo alipata wapi bila mkewe!
 
<br />
<br />
Mjinga sana huyu jamaa watu wana BP za kupanda lkn wanaambiwa na kufiwa na mtoto mkononi wanazimia na kuzinduka sembuse ajali ujinga mtupu hata sijui upendo alipata wapi bila mkewe!
Dena hapa nmecheka kwa majonzi!...lol. Ubarikiwe mpendwa yani umeongea ukweli sana!
 
<br />
<br />
Ndio mara zote huwa nawaambia watu msianzishe thread jioni kuna...cheka mwaya murefu kasahau kucopy ushauri

dena sikuwa na maana ya kucopy ushaur ninamaana nilisahau kucopy jina lako sawa mama mwenye watoto alafu ninaomba tutoe ushaur kwa huyu m2 2ache masihara
 
Mwambie aende chumvini kwa sana tu ulimi unaweza kufikisha mwanamke kama atautumia vizuri . teh teh teh teh zaidi ya hivyo labda atafute na "dudu washa" la bandia ili liwe linajailia pale ulimia unapoishia
 
oya achen porojo back to the topic mana ni mtu huyu jaman anaomba ushaur
Ushauri gani tena? Mwambie amweleze mkewe hilo tatizo na amtake radhi kwa kuficha ajali, ingekuwa vp kama angekatika mguu?
 
Mwambie aende chumvini kwa sana tu ulimi unaweza kufikisha mwanamke kama atautumia vizuri . teh teh teh teh zaidi ya hivyo labda atafute na "dudu washa" la bandia ili liwe linajailia pale ulimia unapoishia

mh? Sawa nitajaribu kha?
 
Habaree wanathinker ninaomba mmusaidie rafiki yangu huyu mana nimeshndwa kumpa ushaur mana cjui nimwambie nini? Ninajamaa yangu yeye ni mfanyabiashara wa kusafiri safir ameoa na anamke na watoto wawili. Mara ya mwisho anasema amepata ajal mkoan arusha ngaramton kwny bodaboda akavunjika kiuno. Na kutokana na biashara yake inamruhusu kukaa nje muda mrefu akaenda kutibiwa akiwa amekaa kwa anko wake huko huko arusha mpaka akapona baada ya miez miwili. Ila hakumwambia mkewe jambo hili. Sasa kivumbi kinakuja amerud na mkewe anataka hak yake ya ndoa na jamaa anamzuga mpk sasa yapata wiki. Je wanathnker msaidien afanyeje mana anaogopa akimwambia mkewe anaweza kumuacha. Wanathnker msaidien analia wakat ananieleza haya

Hizi stori za kutunga huwa unazitoa wapi??
Halafu kunavyoitetea utafikiri ni kweli...
 
Ushauri gani tena? Mwambie amweleze mkewe hilo tatizo na amtake radhi kwa kuficha ajali, ingekuwa vp kama angekatika mguu?

sawa sawa kabisa nitafanya hvyo hapo upo sawa kabisa sweet
 
Ushauri gani tena? Mwambie amweleze mkewe hilo tatizo na amtake radhi kwa kuficha ajali, ingekuwa vp kama angekatika mguu?
<br /
<br />
Thanx utaiona kesho hakuna ushauri hapa zaidi ya kuomba msamaha kwa ujinga aliofanya tu kwisha sioni mbadala wake
 
Back
Top Bottom