Hasira hasara

Hasira hasara

Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.

Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho. Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.

Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things. Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka.... Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material... Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy

Mtumie link ya huu uzi...
 
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.



Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho. Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.



Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things. Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka.... Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material... Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy
Why loosing sleep for something others were chewing for free?
C'mon, you gotta man up.
 
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.

Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho.

Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.

Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things.

Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka. Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material.

Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy.
Tafuta pesa .
 
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.

Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho.

Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.

Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things.

Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka. Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material.

Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy.
Naomba namba zake za simu please!
 
Na ukijirudisha kwa kutia tia huruma atakuona upo desperate na ndio atazidi kuongeza mashauzi na kukukazia.

Huyo manzi umeshampenda mpaka umepitiliza na ameshalijua hilo. Ukijirudisha tu jiandae kupelekeshwa mpaka utie akili! Nashauri endelea kukaza na umpotezee mazima.
Thanks mkuu, ndo maana nimevunga.
 
Pol
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.

Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho.

Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.

Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things.

Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka. Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material.

Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pole saana
 
Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.

Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho.

Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.

Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things.

Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka. Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material.

Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy.
Hujabalehe bado,,, kwahyo ukinyimwa unatukana ???
 
Back
Top Bottom