Hasira ya kumfumania mume wake na rafiki yake wa karibu mke aamua kuchoma pesa

Hasira ya kumfumania mume wake na rafiki yake wa karibu mke aamua kuchoma pesa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1646839085102.png
 
Huyu hana namna lazima Jamuhuri iangaikenae hadi ajifunze kutunza hasira ndani ya mwili wake na sio kuhamishia ktk kuvunja sheria kwa kuhujumu uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.
 
Mm ningekuwa yule jamaa namrudisha kwao had pesa zangu zilipwe zote na ikiwezekan tuachane mazima
 
Roho imeniuma sana anawezaje kuchoma pesa? Mme kuchepuka kashachepuka hata uzichome huna jipya.

Ningezibebaaaaa zoooote nikasepa nazo, aiseee nimeumia mno. Haya mambo kwa nini hayanikuti mimi? Heka nyingi hivyo? Kanikera sana huyo faler.

Hivi BOT hivyo vipande hawawezi pokea?
 
Back
Top Bottom