Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda za kimagharibi huwa haziwaishi wakenya, maisha mnayoishi magumu mkija Tz mnapang'ang'ani hamtaki kurudi kwenu. Tz kutamu hata wahindi wakifika wanagoma kurudi kwaoWhile Nyerere was preaching ujamaa, Kenyatta was telling people to work harder.. tofauti ya uongozi toka kitambo
Wabongo mlilishwa na mnazidi kulishwa propaganda na CCM hadi sasa hivi. Ukweli wa mambo ni kwamba umasikini Tz unazidi Kenya kwa mbali sana. Mnaongoza ukanda huu na 54.6% ya watanzania ambao ni masikini, hiyo ni takriban watu 30.4 million! Linganisha na takwimu za Kenya, kutoka U.N pia(2018), 38.8%/18.8 million.Propaganda za kimagharibi huwa haziwaishi wakenya, maisha mnayoishi magumu mkija Tz mnapang'ang'ani hamtaki kurudi kwenu. Tz kutamu hata wahindi wakifika wanagoma kurudi kwao
Wabongo mlilishwa na mnazidi kulishwa propaganda na CCM hadi sasa hivi. Ukweli wa mambo ni kwamba umasikini Tz unazidi Kenya kwa mbali sana. Mnaongoza ukanda huu na 54.6% ya watanzania ambao ni masikini, hiyo ni takriban watu 30.4 million! Linganisha na takwimu za Kenya, kutoka U.N pia(2018), 38.8%/18.8 million.
Vijiji vya Tz ni hohehahe. Obviously hujafika Kenya wewe.Nenda vijijini Kenya na vijijini Tz hafu utajua mwenyewe nani maskini, nchi yenu ndogo kwa eneo lakini umaskini mlionao unanuka na hauelezeki. Kenya umaskini ni wa kiukoo, ndo maana mnamatatizo kuanzia ardhi hadi mgawanyo wa mali.
Waache bana wafate propaganda zao na hadithi wanazosimuliwa vijiweni. Ukitupia takwimu na ukweli wa mambo kama ulivyo huwa wanaanza kupanick.Vijiji vya Tz ni hohehahe. Obviously hujafika Kenya wewe.
While Nyerere was preaching ujamaa, Kenyatta was telling people to work harder.. tofauti ya uongozi toka kitambo
Propaganda za kimagharibi huwa haziwaishi wakenya, maisha mnayoishi magumu mkija Tz mnapang'ang'ani hamtaki kurudi kwenu. Tz kutamu hata wahindi wakifika wanagoma kurudi kwao
Wabongo mlilishwa na mnazidi kulishwa propaganda na CCM hadi sasa hivi. Ukweli wa mambo ni kwamba umasikini Tz unazidi Kenya kwa mbali sana. Mnaongoza ukanda huu na 54.6% ya watanzania ambao ni masikini, hiyo ni takriban watu 30.4 million! Linganisha na takwimu za Kenya, kutoka U.N pia(2018), 38.8%/18.8 million.
Sasa kati ya nyinyi na sisi wagani hutoroka Inchi yao. Kenya imebeba wakimbizi kutoka kila kona. Tanzania wakiongoza kwa idadi ya Maskini waliotoroka makwao. Albino na vilema kutoka Tz pia wamejaa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maskini kenya atasema.."Heri kulia kwenye Range Rover kuliko kucheka kwenye Bodaboda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda huko Turkana.Vijiji vya Tz ni hohehahe. Obviously hujafika Kenya wewe.
Of course you have to choose the poorest part of Kenya to make a reasonable comparison with your country.Nenda huko Turkana.
Ha ha ha, kenglish haitakusaidia.Of course you have to choose the poorest part of Kenya to make a reasonable comparison with your country.
Pole, sikujua kiingereza kilikupiga chenga.Ha ha ha, kenglish haitakusaidia.
Haya yote unayoyaongelea yalitiliwa maanani kwenye ripoti ya U.N Global Multi-Dimensional Poverty Index 2018 na ripoti ya World Bank pia. Mliongoza kwa wingi wa masikini ukanda huu wote jombaa. Hizi blah blah zenu za kujiliwaza bila takwimu ya kuzipa support ni hadithi tu za danganya toto. Kila mtu apambane na hali yake bana.Tumia sample ndogo tu ya masikini anayeishi dar na yule wa nairobi.utagundua kuna shida mahali kenya.
Kuna tofauti kubwa ya masikini asiyeshika mali ya $1 kwa siku na masikini aiyeweza kula milo mitatu kwa siku.
Ha ha ha, upuuzi mtupu.Pole, sikujua kiingereza kilikupiga chenga.
Haya yote unayoyaongelea yalitiliwa maanani kwenye ripoti ya U.N Global Multi-Dimensional Poverty Index 2018 na ripoti ya World Bank pia. Mliongoza kwa wingi wa masikini ukanda huu wote jombaa. Hizi blah blah zenu za kujiliwaza bila takwimu ya kuzipa support ni hadithi tu za danganya toto. Kila mtu apambane na hali yake bana.
Sasa unataka niamini maneno kutoka kwako wewe na chokoraa wenzako Kariakoo? Wakati hata hujatia mguu nje ya vijiwe vya kahawa hapo kitaa? [emoji15] Ningekushauri kwanza utafute kwanza hiyo ripoti ya U.N ya 2018, haijaongea lolote kuhusu dollar, acha ukibwengo wako wewe!Wewe hata UN wakikwambia una mimba utaanza enda clinic[emoji38][emoji38][emoji38].
Kwani kuishi chini ya dola moja ndio nini???usukumani ukikosa ng'ombe basi wewe ni maskini.kwa mujibu wa mzungu kukosa dola moja kwa siku wewe ni maskini,kwa mujibu wako wewe umasikini ni nini??