Hivi kumbe ni kweli kuna watu mna chuki binafsi na Manara?Namshauri Hassan Bumbuli asimuonee huruma huyo Haji Manara, amuombee njaa afukuzwe kabisa katika tasnia ya mpira. Aina ya utendaji wa Bumbuli ni wa kitaalamu kabisa, hana mambo ya kihunihuni.
Hii ni fursa kwa Bumbuli kumuondoa kabisa Haji Manara, na sio kumsaidia
Uongozi wa juu uko hivyo, Manara anajaribu kumu- outsmart master wake Bumbuli, ilikuwa suala la muda tu Bumbuli angepigwa kitu kizito, ana Mungu wake tu, Sasa ni muda wa Bumbuli kumpelekea Haji kitu kizitoHB NI MTU SMART SANA HANA HUO USWAHILI NA ROHO MBAYA
Kazi zao ni tofauti...Haji Mara ni mshereheshaji tu wakati Bumbuli ni official communication officer wa Yanga
Huyu bwana ni mweledi na anajiamini sana anaingia popote na kusema lolote bila woga na pia ana network ya kutosha! Kasoro zake kubwa ni muongo anaweza kukutia maneno ambayo hukuyasema kwa kujiamini kabisa na watu wakamsikiliza. Ana jaziba hapendi kukosolewa, ukijaribu tu atakutotelea lugha chafu. Hawezi tunza siri za mwajiri ukikorofishana nae tu anamwaga upupu hadharani. Ananunulika huyu jamaa kukiwa na cash aaah kweshney. Anakejeli, gubu na visasi visivyoisha. Just imagine stori aliyotengeneza eti walikutana na Karia kwenye shughuli mojawapo, alimuomba msamaha, eti Karia akamwambia aende nyumbani wakaongee huko, alipoenda eti Karia alitoa sharti kwamba lazima wapige picha, halafu aposti kwenye mitandao, baada ya hapo aite wanahabari kuelezea kuomba msamaha huo. Anadai alilazimishwa kufanya hivyo!. Kweli? hii hainingii akilini, na anaongea kwa kujiamini mkavu kabisa.HB NI MTU SMART SANA HANA HUO USWAHILI NA ROHO MBAYA
Propaganda za mpira hizo sikataiHuyu bwana ni mweledi na anajiamini sana anaingia popote na kusema lolote bila woga na pia ana network ya kutosha! Kasoro zake kubwa ni muongo anaweza kukutia maneno ambayo hukuyasema kwa kujiamini kabisa na watu wakamsikiliza. Ana jaziba hapendi kukosolewa, ukijaribu tu atakutotelea lugha chafu. Hawezi tunza siri za mwajiri ukikorofishana nae tu anamwaga upupu hadharani. Ananunulika huyu jamaa kukiwa na cash aaah kweshney. Anakejeli, gubu na visasi visivyoisha. Just imagine stori aliyotengeneza eti walikutana na Karia kwenye shughuli mojawapo, alimuomba msamaha, eti Karia akamwambia aende nyumbani wakaongee huko, alipoenda eti Karia alitoa sharti kwamba lazima wapige picha, halafu aposti kwenye mitandao, baada ya hapo aite wanahabari kuelezea kuomba msamaha huo. Anadai alilazimishwa kufanya hivyo!. Kweli? hii hainingii akilini, na anaongea kwa kujiamini mkavu kabisa.
ndio maana katulia sasa hiviUongozi wa juu uko hivyo, Manara anajaribu kumu- outsmart master wake Bumbuli, ilikuwa suala la muda tu Bumbuli angepigwa kitu kizito, ana Mungu wake tu, Sasa ni muda wa Bumbuli kumpelekea Haji kitu kizito
Bumbuli Hana majibu mazuri kwa watu wanaomhoji, Yuko dry sana. Binafsi simchukii bumbuli lakini simfurahii pia.Kazi zao ni tofauti...Haji Mara ni mshereheshaji tu wakati Bumbuli ni official communication officer wa Yanga