Hassan Bumbuli na Haji Manara 'mnagombania' nini hadi 'mnatukanana' Matusi ya Nguoni katika 'WhatsApps' zenu?

Hapo Bumbuli lazima atanyari tu. Manara kwenye kuliwa kiboga hajivungi . Keshamkamata GSM . Yuko tayari kuliwa kiboga hata kwenye umati wa watu. Ili Bumbuli asalie pale jangwani inabidi naye atowe mzigo kama anavyofanya gwiji Manara
 
Disinformation campaign...bila Shaka ulisomea Bulgaria enzi zile za ukomunisti
 
Kama tumepanda Abood kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro kwa hiki ulichokiuliza hapa ni sawa na tumekaribia Ubena Zomoni na muda mchache tu tunaingia Msamvu Bus Terminal Morogoro.
Dah, BINADAMU tumekosa UTU au WATU tumekosa UBINADAMU?
maana kumpumulia mlemavu mbinguni kuna kupokelewa kweli?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwa heshima ya wazee wake Kitwana,Sunday na Kasimu niwaombeni punguzeni ukali wa maneno.
 
Soccer analocheza Yanga sasa hivi naona linachanganya sana watu-mi naona hakuna namna-football is coming home
 
Hivi wewe mgonjwa wa bawasiri kwanini kila ukishikwa tako unawaza Yanga tu??
 
Mpika majungu/Mchambuzi wa Mchongo/ Chupli Chupli/ Mchambuzi njaa kali . Mbeya na mnafiki mkubwa wewe kila kukicha unaizungumzia Yanga SC na kuitakia mabaya ulaaniwe daima tumechoshwa na tabia yako ya umbeya umbeya. Sema na Kuhusu Simba SC basi tujue kweli wewe ni mbobezi katika kufukunyua mambo kuliko kila kukicha unaizungumzia Yanga SC Narudia tena yeyote hasa wewe anayeizungumzia na kuitakia mabaya Yanga SC alaaniwe daima.
 
Bumbuli anamwambia msukule anapelekwa arabuni kushikwashikwa matako na mabwana zake.

Hii kauli ya Bumbuli imenifikirisha sana.
Mtapata tabu sana kwa umbeya wenu na litimu lenu litafungwa na kutoa sare mpaka mkome kwenye ligi,ASFC na Shirikisho.Timu lenu litakuwa vululu vululu msimu kwa msimu kuanzia msimu huu 2021/2022
 
Bado unatembea mitaani,au kwaile mnatumia utambulisho bandia?

Ungekuwa na akili ungeondoa Huu Uzi haraka baada ya mechi za tanga na mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…