Sasa ni rasmi Hassan Bumbuli out,pole sana ulijitahidi kukomaa ila waoi bwana
Jana kapigiwa simu na GSM kuwa aanze kukusanya virago tayari kukabidhi ofisi kwa Taji Liundi
Taji Liundi ni mbobezi katika hiyo sekta lakini yeye na Bumbuli siasa za mpira ni ngumu kwao .
Simba na Yanga zinataka
wahuni fulani na watoto wa mjini na sio walokole kama Bumbuli na Taji
Jana kapigiwa simu na GSM kuwa aanze kukusanya virago tayari kukabidhi ofisi kwa Taji Liundi
Taji Liundi ni mbobezi katika hiyo sekta lakini yeye na Bumbuli siasa za mpira ni ngumu kwao .
Simba na Yanga zinataka
wahuni fulani na watoto wa mjini na sio walokole kama Bumbuli na Taji