Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hivi nyie wachezaji wa bongo anawashauri nani? Yaan uikache timu inayokwenda kushiriki Super League, timu inayokwenda pre season ulaya, timu inayocheza ligi ya mabingwa unaenda kuchezea timu ambayo kila baada ya misimu 2 lazima ishuke daraja.Kweli akili hiyo?
Wewe Dilunga kwa umri uliokuwa nao, ulikuwa na msimu mmoja t wa kumaliza career yako ya soka, huko JKT ushapoteza kaka.
Kama unaona kwa kufanya hivyo unaikomoa Simba umejidanganya
Wewe Dilunga kwa umri uliokuwa nao, ulikuwa na msimu mmoja t wa kumaliza career yako ya soka, huko JKT ushapoteza kaka.
Kama unaona kwa kufanya hivyo unaikomoa Simba umejidanganya