Hassan Dilunga wapi Unakwama Brother....

Hassan Dilunga wapi Unakwama Brother....

Fei toto mimi namuona mlaini sanaaaaaaaa, mechi za nguvu hawezi yule atakua anapumulia oxygen
We jamaa sijui mpira unauchukuliaje.....

Hiv auobagi mabeki na viungo pinzani wanvopata tabu kuuchukua mpira kwa Fey mpaka wabamchezea rafu....? Yule dogo ananguvu ndo maana unaona anashoot kutoka mbali.....!

Sema ni fundi kiasi kwamba unaeza kuzani mpira ni kitu rahisi rahisi....!
Jaribu kukaa na wachezaji watakwambia shughuli ya fey au Niyonzima ukipangiwa kumkaba!
 
Dilunga tangu atue Simba na kuonyesha uwezo mechi ya Nkana, kwasasa anachozingatia ni unyoaji mzuri wa PANKI
 
Tatizo maisha yake ya nje ya uwanja yana muathiri sana na hii ipo sana kwa wachezaji wanaotokea temeke

Ndio maana ukuangalia Temeke kuna vipaji vingi sana lakini hakuna wanaotoboa kufikia hayo mafanikio

Meneja wake ni Cambiaso ambaye anauwezo wa kumpeleka mchezaji timu yoyote Africa

kunajifanya wajuaji wakati bado hawajafika kokote
Hivi Samatta anatokea Kinondoni au Ilala?
 
Hapo ndio tunakuwa wachezaji wetu wana fail, wakisikia jukwaa basi wanajuwa wamemaliza. Ili kuweza kwenda kucheza huko majuu sio hizo touch ni uwezo wako wakuelewa tactic za kimpira. Ni kama engine ya gari kila part lazima ifanye kazi ili kusukuma gari na ukiwa mchezaji na zaidi wakati hakuna room ya kufanya makosa. nataka nikumbushie tu mechi moja ya Tanzania na Ivory coast, sure boy wakati huo yuko vizuri tu akawa na chenga zake kugeuka mara na watu wanashangilia sana sababu tu kulikuwa na mtu kama Yaya Toure lakini Yaya hakuwa anapiga chenga wala kukimbia hovyo unaona sehemu ya pass anapiga, sehemu ya shoot anapiga na kuna wakati ana jiposition kubana nafasi katika kulinda defenders huwezi kumuona yuko out of position maana itacost team. mfano mdogo wa kwetu huwezi kumuona Samatha anafanya mbwembwe ndio maana anakubalika huko.
Unanikumbusha canavaro alikuwa anajisifu kamkaba Etoo wakati tumeenda Cameroon tumefungwa goli mbili na zote kafunga Etoo lakini bado anajitapa alimzuia na waandishi wetu uchwara wanamuandika bila kuangalia uhalisia
 
Back
Top Bottom