Hapo ndio tunakuwa wachezaji wetu wana fail, wakisikia jukwaa basi wanajuwa wamemaliza. Ili kuweza kwenda kucheza huko majuu sio hizo touch ni uwezo wako wakuelewa tactic za kimpira. Ni kama engine ya gari kila part lazima ifanye kazi ili kusukuma gari na ukiwa mchezaji na zaidi wakati hakuna room ya kufanya makosa. nataka nikumbushie tu mechi moja ya Tanzania na Ivory coast, sure boy wakati huo yuko vizuri tu akawa na chenga zake kugeuka mara na watu wanashangilia sana sababu tu kulikuwa na mtu kama Yaya Toure lakini Yaya hakuwa anapiga chenga wala kukimbia hovyo unaona sehemu ya pass anapiga, sehemu ya shoot anapiga na kuna wakati ana jiposition kubana nafasi katika kulinda defenders huwezi kumuona yuko out of position maana itacost team. mfano mdogo wa kwetu huwezi kumuona Samatha anafanya mbwembwe ndio maana anakubalika huko.