Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Wakuu habari zenu....
Leo imenibidi niongee na Hassani Dilunga (HD), Kiungo machachari, Una sifa zoote brother, nilianza kukuona wa tofauti kwanzia mechi ya Nkana, pressing yako sikutofautishi na Oscar aliekua Chelsea.
Sijawahi kukuona umeflop kwenye mechi yoyote kama alivyoflop Firmino jana(mfano halisi) ila unaleta uhai kwenye timu kila unapoingia au unapoanza, nikirudi nyuma kwenye mechi za Simba ulizoanza, washambuliaji wa Simba walikua wanasumbua sana safu ya ulinzi na uhai wa Kiungo unaonekana.
Brother Unakwama wapi?? Sijui tu, macho ya wanadamu yanatofautiana sanaa, Wewe sio wa Simba pale japo basi tu naona kama umesharidhika mzee baba.
Ongeza Jitihada Man, Ongeza Maombi kwa Mungu, nakuaminia sana HD, Unaweza Brooo, Unaweza sannaaaa.
Umri bado unakuruhusu kufanya makubwa zaidi, ila usije ikawa uneridhika kuwa Simba, nakutegemea nikuone hata Championship pale England kwa kua unajua sana kuliko wengi wanaocheza ligi hiyo
Ni mimi Mshabiki wako No.1
Leo imenibidi niongee na Hassani Dilunga (HD), Kiungo machachari, Una sifa zoote brother, nilianza kukuona wa tofauti kwanzia mechi ya Nkana, pressing yako sikutofautishi na Oscar aliekua Chelsea.
Sijawahi kukuona umeflop kwenye mechi yoyote kama alivyoflop Firmino jana(mfano halisi) ila unaleta uhai kwenye timu kila unapoingia au unapoanza, nikirudi nyuma kwenye mechi za Simba ulizoanza, washambuliaji wa Simba walikua wanasumbua sana safu ya ulinzi na uhai wa Kiungo unaonekana.
Brother Unakwama wapi?? Sijui tu, macho ya wanadamu yanatofautiana sanaa, Wewe sio wa Simba pale japo basi tu naona kama umesharidhika mzee baba.
Ongeza Jitihada Man, Ongeza Maombi kwa Mungu, nakuaminia sana HD, Unaweza Brooo, Unaweza sannaaaa.
Umri bado unakuruhusu kufanya makubwa zaidi, ila usije ikawa uneridhika kuwa Simba, nakutegemea nikuone hata Championship pale England kwa kua unajua sana kuliko wengi wanaocheza ligi hiyo
Ni mimi Mshabiki wako No.1