Hassan Mwakinyo acha kututania

Hassan Mwakinyo acha kututania

Bora huyo, sasa huyu Arnel Tinampay hata ukimgoogle unakutana na mauzauza, yaani jina halitambuliki, halafu Mwakinyo anataka kutuaminisha eti ni bondia mkubwa kisa anatokea kwa kina Pacquiao [emoji38][emoji38]
mwacheni apigane mkuu million90 siyo ndogo
 
Acheni mambo yenu bwana mayweather alipigana na McGregor ana historia gani katika boxing au hata yeye kabla ya kupigana na Sam Eggington alikuwa na status gani kubwa hasa kama mpinzani wake
Haha Mc Gregor ni superstar, alikuwa ndio Face wa UFC enzi hizo so ukipigana naye lazima mtengeneze hela ya kutosha ndicho alichoangalia Mayweather na Team yake, sasa huyo mfilipino wa Mwakinyo hata Google haimjui vizuri[emoji3][emoji3][emoji3]. Huyo Sam Eggigton naye alitafuta mpinzani aliyefikiri ni 'nyanya' ili anenepeshe cv yake ila Mambo yakawa si Mambo[emoji23]
 
Haha Mc Gregor ni superstar, alikuwa ndio Face wa UFC enzi hizo so ukipigana naye lazima mtengeneze hela ya kutosha ndicho alichoangalia Mayweather na Team yake, sasa huyo mfilipino wa Mwakinyo hata Google haimjui vizuri[emoji3][emoji3][emoji3]. Huyo Sam Eggigton naye alitafuta mpinzani aliyefikiri ni 'nyanya' ili anenepeshe cv yake ila Mambo yakawa si Mambo[emoji23]
Em tuache utani mkuu m90 ni pesa nyingi unaanzaje kuziacha
 
Em tuache utani mkuu m90 ni pesa nyingi unaanzaje kuziacha
Ni pesa nzuri kibongobongo, sema angetafuta mpinzani bora zaidi ili atengeneze njia ya kupiga hela nzuri zaidi huko mbeleni
 
Mwakinyo yuko slow sana, ngumi zinataka uwe fasta, mm sioni kama ni boxer mzuri hata kidogo, secondly, nadhani pia manager wake hana vision kabisa wala connection..
 
Mwenzake Dulla 'Mbabe' kachezea kichapo huko Uingereza, labda ndo maana anajaribu kutafuta wapinzani dhaifu[emoji3][emoji3][emoji3]
images%20(42).jpeg
 
Kama kweli una nia ya kuupeleka mbele mchezo wa boxing bongo acha kupigana na aina hii ya wapinzani, hawatakupeleka popote.

Mtu ana loss 24 unapigana naye ili iweje, ili akupeleke wapi? He is nobody kwenye boxing, hata ukishinda no one cares, kwenye boxing watu wa namna hii tunawaita 'journeyman'.

Tangia umepigana na Sam Eggigton ambaye ni bondia anayetambulika na kukupeleka juu sana kwenye rating hujapigana tena na bondia wa maana, yaani wewe kwenye ranking uko no19 dunia nzima kwanini usiombe pambano na mabondia ambao at least wako top 50? Badala yake unapigana na bondia no190?

This is nonsense, ile ndoto ya kupigana na watu kama kina Kell Brook ilifia wapi?View attachment 1250438
Mwakinyo ni overrated boxer uwezo wake ni wakawaida mno ila anapewa promo sana, kingine jamaa ana majivuno sana, nitafurahi sana akipigwa kwenye hilo pambano.
 
Back
Top Bottom