mwacheni apigane mkuu million90 siyo ndogoBora huyo, sasa huyu Arnel Tinampay hata ukimgoogle unakutana na mauzauza, yaani jina halitambuliki, halafu Mwakinyo anataka kutuaminisha eti ni bondia mkubwa kisa anatokea kwa kina Pacquiao [emoji38][emoji38]
Acheni mambo yenu bwana mayweather alipigana na McGregor ana historia gani katika boxing au hata yeye kabla ya kupigana na Sam Eggington alikuwa na status gani kubwa hasa kama mpinzani wakeAkiendelea kupigana na nobodies hizo kubwa atazisikia tu
Hao wanamuongezea rekodi na cv na anaingiza mpunga kuliko kukaa bure si bora wazichape tuAnazingua sana, kama anataka kufika mbali basi apambane na furu sio kuonea dagaa
Haha Mc Gregor ni superstar, alikuwa ndio Face wa UFC enzi hizo so ukipigana naye lazima mtengeneze hela ya kutosha ndicho alichoangalia Mayweather na Team yake, sasa huyo mfilipino wa Mwakinyo hata Google haimjui vizuri[emoji3][emoji3][emoji3]. Huyo Sam Eggigton naye alitafuta mpinzani aliyefikiri ni 'nyanya' ili anenepeshe cv yake ila Mambo yakawa si Mambo[emoji23]Acheni mambo yenu bwana mayweather alipigana na McGregor ana historia gani katika boxing au hata yeye kabla ya kupigana na Sam Eggington alikuwa na status gani kubwa hasa kama mpinzani wake
Em tuache utani mkuu m90 ni pesa nyingi unaanzaje kuziachaHaha Mc Gregor ni superstar, alikuwa ndio Face wa UFC enzi hizo so ukipigana naye lazima mtengeneze hela ya kutosha ndicho alichoangalia Mayweather na Team yake, sasa huyo mfilipino wa Mwakinyo hata Google haimjui vizuri[emoji3][emoji3][emoji3]. Huyo Sam Eggigton naye alitafuta mpinzani aliyefikiri ni 'nyanya' ili anenepeshe cv yake ila Mambo yakawa si Mambo[emoji23]
tatizo Dogo anapenda kuonekana kwa video
menejimentiNahisi kuna walakin kwenye management yake.
Mtoane mijinundu
Anthon Joshua alipigwa na Tetema. Dharau!
Mwakinyo ni overrated boxer uwezo wake ni wakawaida mno ila anapewa promo sana, kingine jamaa ana majivuno sana, nitafurahi sana akipigwa kwenye hilo pambano.Kama kweli una nia ya kuupeleka mbele mchezo wa boxing bongo acha kupigana na aina hii ya wapinzani, hawatakupeleka popote.
Mtu ana loss 24 unapigana naye ili iweje, ili akupeleke wapi? He is nobody kwenye boxing, hata ukishinda no one cares, kwenye boxing watu wa namna hii tunawaita 'journeyman'.
Tangia umepigana na Sam Eggigton ambaye ni bondia anayetambulika na kukupeleka juu sana kwenye rating hujapigana tena na bondia wa maana, yaani wewe kwenye ranking uko no19 dunia nzima kwanini usiombe pambano na mabondia ambao at least wako top 50? Badala yake unapigana na bondia no190?
This is nonsense, ile ndoto ya kupigana na watu kama kina Kell Brook ilifia wapi?View attachment 1250438