Hassan Mwakinyo ameshinda pambano lake dhidi ya Tshabangu Kayembe

Hassan Mwakinyo ameshinda pambano lake dhidi ya Tshabangu Kayembe

Tuko pamoja
1597443685222.png
 
Hili pambano la Choki na Mwakyembe ni zuri
 
Wandugu, Nikipanda daladala linalokwenda uvinza nishuke kituo gani ili nifike hapo mlimani mji.?
 
Itakua saa nane usiku huu, maana saa hizi ni 01:36 na bado mapambano kama mawili kwa main event
Huyu anawaweka watu macho mpaka muda huo kwa ngumi gani?


Kama ni zile za kukimbilia kwenye nyavu pamoja na vile vikombe vya tumbo alivyopelekewa siku ile taifa tujue mapema

Hatutaki ngumi za ebitoke na mlela hapa

Maana watu waliopoteza furaha yao kwasababu ya barcelona wako hapa wanamtegemea yeye abadilishe upepo at least
 
Back
Top Bottom