Hassan Mwakinyo ameshinda pambano lake dhidi ya Tshabangu Kayembe

Lugha ya malkia sio rafiki
Pale unaposhtukizwa kuongea kizungu[emoji23][emoji23][emoji23], kwa kiswahili anauliza maswali mengi ila alivyoambiwa english please ameishia swali moja tena kwa broken English [emoji1][emoji1]
 
Leo nimepata majina mapya mawili ya kuyafuatilia, Juma Choki na huyu Tony Rashid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…