mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wachambuzi wanasema hakuwa kwenye Maumivu wala shida Yoyote Iweje Aendee Chini Mwakinyo?
Mzungu yupo vizuri sanaHuyo mzungu mwenyewe umeona ngumi zake.Sio mzungu dhaifu kiasi chakusema kambi yake inunue mechi.Hizo zitakua stori za vijiwe vya draft.
Daah mwakinyo kawalaza watanzania muda mbovu kuangalia pambano ambalo wengi walikuwa wameweka matumaini kwake lakini naaminj kilicho mfelisha sio kuzidiwa uwezo ni some conspiracyNahisi vile viatu vina telez,ndio maana mguu ukashtuka. Ila mzungu wa kawaida tena kama zile round za mwamzo kwangu Mwakinyo ndiye alikuwa vizuri.
Kwanini ukubali kusogezwa mpaka kwenye kamba?Kapoteza? Au wamepiga Fitina...
Unampigaje mtu yupo kwenye Kamba?
Unampigaje mtu amenyoosha mkono juu?
dah nimecheka Sasa kaenda pale kufanya nnMmoja kasema mimi sio muelewa saana wa haya mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe watz wanapenda ngumi hivi?
Mzungu wa kawaida sana hajarusha punch yoyote ya maana.Mzungu yupo vizuri sana
Kwanza anajua kupress kwenda mbele
Kuna muda mpaka Mwakinyo akwa amamsukuma nyuma
πππArudi tu nyumbani aje akute kuna miamba mipya imeibuka. Huko ulaya anaichafua Tanzania tu sawa na Taifa staΕs
Ila cha ajabu mzungu kapita na ada za watoto wetuMzungu wa kawaida sana hajarusha punch yoyote ya maana.
Smith kakosea kumpiga akiwa chini hilo linajulikana, lakin Kinyo tayari alikuwa amesalenda kwa kunyanyua mikonoKaa kimya hujui boxing. Hujaona uhuni uliofanyika pale?
Kapoteza? Au wamepiga Fitina...
Unampigaje mtu yupo kwenye Kamba?
Unampigaje mtu amenyoosha mkono juu?
Wewe jamaa. Chuki zitakukausha damuHakunaga bondia hapo mnahangaika bure aliotea zali ile game ikamtoa
Kwa hiyo kwa Tanzania hapa ukimtoa yeye nani mbadala wake?Hakunaga bondia hapo mnahangaika bure aliotea zali ile game ikamtoa
Ametukata stimuπππ
Mchezo ninao upenda utabaki kuwa football tu,fikiria hata nusu saa haijafika game imeisha upuuzi mtupu...
Ukiambiwa wacheza golf huwa wanaumia utaamini?Huo mguu inaoneshwa alivyoumia?
Inashangaza kidogo kuumia mguu kwenye ndondi
KabisaAmetukata stimu
Huyu hapaKwa hiyo kwa Tanzania hapa ukimtoa yeye nani mbadala wake?