magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Pita youtube utajionea inavyokuwa.Kwamba anaweza kosa kupiga kile kimpira akajikuta kajifumua mguu na lile rungu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita youtube utajionea inavyokuwa.Kwamba anaweza kosa kupiga kile kimpira akajikuta kajifumua mguu na lile rungu?
Ameuza sh. ngapi?Ameuza gemu fala huyu
View attachment 2344956
Ndio maana mchezo wa ngumi huwa siupendi.
Mtu akipigana nchini kwake hapigwi sijui kwa nini
Yani imeonekana tumepigwa eti.
Mbongo noma kweli.Mzungu yupo vizuri sana
Kwanza anajua kupress kwenda mbele
Kuna muda mpaka Mwakinyo akwa amamsukuma nyuma
Tozo liongezeke...mpaka akili zitukae sawa..au nakosea mkuu?Taifa stars 3
Mwakinyo tko
Simba 1
Tozo 100%
Kwahiyo na Mwakinyo naye ameuza shoo ili apate utelezi?Lakini Wakulaumiwa hapa ni Mandongaaa Mtu Kazi.
Kwasababu Wenzie wanajua Ukipigwa ndio Unapata Ma deal makubwa makubwa
Njaa mbaya, mwakinyo alisafiri siku chache kabla ya pambano bila kocha wala meneja, wale jamaa waliokuwa kwenye corner yake ni wabeba box wakibongo huko huko uk.....njaa mbaya njaa mbaya!!!!
Aah huyu fala kweli yani kwa matokeo ya kupigwa round ya mapema niliona hicho ni kipigo kikubwa mno kulingana na level yake.Ameuza gemu fala huyu
View attachment 2344956
channel hii namuona Mwigulu anatoa ufafanuzi kuhusu tozoMia tano na nne chungwan Hong-Kong network.
Mmoja kasema mimi sio muelewa saana wa haya mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiambiwa wacheza golf huwa wanaumia utaamini?
Baada ya mechi,bora angekaa kimya tuAah huyu fala kweli yani kwa matokeo ya kupigwa round ya mapema niliona hicho ni kipigo kikubwa mno kulingana na level yake
Nilitegemea asinheweza kuongea kwa siku hizi mbili, na hata ingetokea namuona anaongea basi uongeaji wake utakuwa ni wa tabu sana
Lakini kwa hii clip mwanzo nilivyianza kuicheki nilidhani ilirekodiwa kipimdi ambacho anajiandaa kupanda ulingoni.
Mwakinyo kapoteana!Kilichotokea Kuna round kengele ililia halafu mwakinyo akamchapa mzungu ngumi Kali ya shavu!Mzungu akamsogolea akamwambia maneno fulani mwakinyo ya kumind!Wazungu wenyewe niko nao hapa wamemaind kiseng.e huu upendeleo,kumbe haya majitu nayo maoga sana
Huyu mzungu hata steve nyerere anamkalishaView attachment 2344958
Eti ana miaka 27
kafakisha kweli yaniBaada ya mechi,bora angekaa kimya tu
Nimepoteza muda wangu tu......kafakisha kweli yani
Ngumi haziko kama unavyofikiria.Pale Kila bondia alikua na tahadhari kumsoma mpinzani wake kwa kupiga kwakushtukiza uku wakijilinda zaidi .Kwahiyo ni lazima uone sio mzuri ila nenda Youtube ukaone clip zake.pambano lingechanganya kwenye round ya nane kuendelea ndo tungeona ubora wao.Mzungu wa kawaida sana hajarusha punch yoyote ya maana.