Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Hili pambano lingefaa kuwa LA utangulizi na pambano kuu lingekuwa LA wale wanawake
 
Kifundo cha Mguu
🙄🙄🤨

Kuna nini hapo mzee Mwakinyo unaenda vitani unaleta amani wakati unaambiwa 'usilete amani wakati wa vita utakufa mapema', bita ni bita Mura

Kwanini usingetafuta mwenyewe viatu vyako vingine vinavyokukaa vizuri hadi ukubari vya kupewa na mtu ambae ni mpinzani wako nani aliekushauri huo ujinga?, 'cha kupewa hakishibishi'

Ona unavyojitia Aibu nani ataelewa maelezo ya kitoto km hayo

Mwakinyo najua unasoma huu uzi nani aliekushauri huo ujinga?
 
Nadhani mmesadiki yale niliyoyasema kabla ya mpàmbano huo
Wewe uliongea ukweli.Tatizo letu wabongo tunatabia yakuweka ushabiki bila kujiuliza mpinzani yukoje.Naweza kusema toka mwakinyo ameanza kupigana huyu ndo bondia mkali kakutana naye.Kwasababu jamaa ni mvumilivu na anapiga ngumi kwa utulivu na mahesabu.Sijajua kilichomfanya mwakinyo achuchumae mapema ila bado naamini hili pambano bado mzungu angeshinda.Hizo stori nyingine tunajifariji tu.
 
Wewe uliongea ukweli.Tatizo letu wabongo tunatabia yakuweka ushabiki bila kujiuliza mpinzani yukoje.Naweza kusema toka mwakinyo ameanza kupigana huyu ndo bondia mkali kakutana naye.Kwasababu jamaa ni mvumilivu na anapiga ngumi kwa utulivu na mahesabu.Sijajua kilichomfanya mwakinyo achuchumae mapema ila bado naamini hili pambano bado mzungu angeshinda.Hizo stori nyingine tunajifariji tu.
Yule ni kama baba yake ivo aliona aibu kupigana nae
 
[emoji849][emoji849][emoji2955]

Kuna nini hapo mzee Mwakinyo unaenda vitani unaleta amani wakati unaambiwa 'usilete amani wakati wa vita utakufa mapema', bita ni bita Mura

Kwanini usingetafuta mwenyewe viatu vyako vingine vinavyokukaa vizuri hadi ukubari vya kupewa na mtu ambae ni mpinzani wako nani aliekushauri huo ujinga?, 'cha kupewa hakishibishi'

Ona unavyojitia Aibu nani ataelewa maelezo ya kitoto km hayo

Mwakinyo najua unasoma huu uzi nani aliekushauri huo ujinga?
Hivi huwa ni visingizio vya sisi watu weusi.Wenzetu wazungu wakipoteza mpambano huwa wanakubali wamepoteza ili akajipange tena ila sisi sasa lazima tulete visingizio na sababu zisizo na msingi.Kuna jamaa anaitwa Wilder alipigwa ngumi zakutosha akaenda chini alafu akasingizia Nguo alizopewa zilikua nzito.Sasa unajiuliza alikua wapi kulijua hilo au hadi wakishapigwa ndo wanasikia uzito au kiatu kibaya.
 
Sifa za boxing
1.ni mchezo ambao ukitegea kama football unakufa
2.ni mchezo ambao wanaoshabikia hawawezi kuucheza
3.ni mchezo ambao hata ukishindwa unalipwa
4. ni mchezo ambao kama huna hasira huwezi kushinda

NB kosa LA mwakinyo aliingia ulingoni anatabasmu,kinyonge,wimbo muziki taarabu...........
 
Hivi huwa ni visingizio vya sisi watu weusi.Wenzetu wazungu wakipoteza mpambano huwa wanakubali wamepoteza ili akajipange tena ila sisi sasa lazima tulete visingizio na sababu zisizo na msingi.Kuna jamaa anaitwa Wilder alipigwa ngumi zakutosha akaenda chini alafu akasingizia Nguo alizopewa zilikua nzito.Sasa unajiuliza alikua wapi kulijua hilo au hadi wakishapigwa ndo wanasikia uzito au kiatu kibaya.
That's true

Mwakinyo angepoa tu ajipange kwa pambano jingine km angehitaji rematch angetulia tu kimya kimya huku akifanya maboresho kwenye mapungufu yaliyopelekea kupoteza ili pambano lijalo asipoteze tena
 
Kwahiyo wewe huyo mwakinyo unamwona ni mzuri kuliko huyo mzungu?.Hebu tuache kujifariji bana.
Kwa jana alikuwa vizuri, achana ni history angalia current form ya muhusika kwa siku ya jana si mfariji bali tumeona.

Au sababu ya historia yake nyuma basi unazani kila siku jumapili.

Kama ingekuwa basi sababu ya historia na hizo clip za nyuma sizani kama kuna bondio angekuwa anapigwa, wewe unazungumzia historia mimi na zungumzia form ya siku jana.
 
Mwakinyo leo anakula TKO ya mapema tu...Liam sio bondia wa mchezo mchezo kama hao kina katompa..Liam ni aina ya pressure boxer...hakupi gape kama ilivyo kwa Saul "Canelo" alvarez au GGG "Triple G" Gonad Golovkin
Umepatia
 
Back
Top Bottom