Mwakinyo hovyo kabisa, mzito kama mbeba zege, boxing you have to be fast, quick and changing stances any time, sasa mtu anarusha ngumi slow alafu uzito wa kawaida, utafikiria sio professional boxer..!!
Kapigwa kwa ujinga wake, kukaa kaa chini ujinga mtupu, ngumi ni vita kali, piga mtu anye mavi, akojoe kuleee, TKO, uchukue ushindi, refa hana msaada, don't depend on referee, piga mtu, pigaa afe, kata taya zote, i wish niwe mm, napiga ngumi hadi mm mwenyewe najiogopa, napigaa kata funua, taya yote nje, pumbaf Mwakinyo. Twaha Kiduku tu ndio boxer hapa Tz wa kimataifa, wengine wote hakuna.