Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

ile bukta yenye jina champez aliitoa wapi mkuu?
Eee bwana mkuu mi mwenyewe baada ya kuona pambano limeisha ilinichukua si chini ya dk 10 kama si 15 kuyawaza hayo. Kulikoni jamaa mwanzo alionekana anammudu mshikaji lkn ghafla alianza kubadilika kana kwamba amemwagiwa upupu. Kiujumla mwenzentu ameonyesha udhaifu mkubwa mnoo kama umeibiwa begi airport na unajua nchi uliyoingia una mpinzani wako iweje ndiko huko unawatumia jamaa wa humo kukupa vifaa vya kutumia kupambana na mpinzani wako???.

Maana ninachojua upambanaji wa kukabiliana na adui inabidi utumie vyote nguvu, akili, MAARIFA, saikolijia iwe ya hali ya juu, ikiwezekana ukishauriwa ufanye maamuzi ya kwako. Any way tumuombee maana ushindi wake ni kupepeprusha bendera ya nchi yetu.[emoji188][emoji188]
 
Kila la heri mwakinyo, kila la heri timu ya taifa, nashukuru serekani, blah blah upuuzi tu. Watu pigeni kazi
 
Uswahili mwingi. Hizo siku 2 alikuwa anafanya mazoezi kwa kutumia viatu gani?

Na hapo Liverpool nina uhakika angeweza kununua MWENYEWE viatu vingine kutoka dukani maana siyo kama yupo Sumbawanga ndani ndani. Kwa nini professional boxer usubiri viatu vya kupewa?
Anajenga stimu ya pambano lijalo mara serikali mara nini...ila kiukweli hawezi umri umekwenda. Hatutamuona MGM Grand kama tulivyotarajia
 
MTU anaposema tumuombee kuna kitu watanzania tujifunze kutoka kwa JPM na sasa Mwakinyo na majaji wa mahakama kule kenya

Mtanzania na Bondia Hassan Mwakinyo, amewaomba watanzania kumuombea kuelekea pambano lake la leo dhidi ya bondia, Liam Smith raia wa Uingereza.




" Ni dua zenu pekee zinaweza kunivusha hapa nilipo" ameandika Hassan Mwakinyo.
Ina maana Mungu hatusikilizi watz. Taifa Stars tumeomba, huyu mwakinyo tumeomba na manabii wetu wa mafuta, maji, nk wapo!!!;

Tunakwama wapi???
 
Mshindi hua lazima awe mmoja we pambana tuko pamoja siku hizi ujanja ni kupigwa.

#MandongaMtukazi 💪
 
Back
Top Bottom