Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Mkuu bora soccar tu, huu mchezo wa ngumi nawaachia watemi.Ndondi ukiwa nyumbani na ukafanikiwa kutoboa raundi zote wewe moja kwa ni mshindi ata kama uko mwanzo ulipokea ngumi nzito. Njia rahisi ya mgeni kushinda ni ashinde kwa KO
Maana kwenye mchezo wa ngumi kila mtu ni mtemi, kuanzia mchezaji, makocha, refa mpaka mashabiki.
Ndio maana akili zao zinashindwa kuamua vizuri mpaka leo.
Hivi watu wanagombea kombe (mkanda) la kimataifa, alafu mpinzani mmoja anapambana kwao, hivi huoni upendeleo hapo.
Kwanini wasipeleke nchi ngeni kwa kila mmoja?
Mfano pambano lingefanyika hata India, ama nchi yeyote ya Amerka kusini, lakini hawa wapuuzi wameamua game ifanyike England nyumbani kwao Liam Smith tena ndani ya jiji alilo zaliwa (Liverpool) kama sio mchongo ni nini?
Bubu, ngumi ni mchezo wa kiduanzi kuwahi kutokea Duniani