Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mwankinyo ana miaka 27 na kuzeeka koote huko?.Baada ya kimya cha muda mrefu kilichomfanya bondia wa Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Marekani, Hassan Mwakinyo kupoteza baadhi ya mikanda, bondia huyo atarejea ulingoni Septemba 3, 2022
Hassan Mwakinyo anatarajia kupigana na Liam Smith bingwa wa zamani wa WBO ambaye amecheza mapambano 35 na alipoteza mapambano matatu tu
Tofauti ya Liam na Mwakinyo ni umri na idadi ya mapambano waliyocheza. Liam ana miaka 34, Mwakinyo ana miaka 27 na amecheza mapambano 22 ambapo alipoteza mapambano mawili.
Mbona ni chalii tu 95Mwankinyo ana miaka 27 na kuzeeka koote huko?.
Namtakia ushindi
Kama ni hivyo bado anayo nafasi kubwa kufanya makubwa.
Mwakinyo hajawahi kushinda mkanda wowote wa maana. Labda iwe hii mikanda ya ''kimachinga'' waliokuwa wanashinda kina Matumla. Lile pambano la utanguzi lililoonyeshwa kwenye Sky Sports ndiyo lilitakiwa limtangaze na apate mapambano ya maana lakini naona pengine hana uwezo.Baada ya kimya cha muda mrefu kilichomfanya bondia wa Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Marekani, Hassan Mwakinyo kupoteza baadhi ya mikanda, bondia huyo atarejea ulingoni Septemba 3, 2022
Hassan Mwakinyo anatarajia kupigana na Liam Smith bingwa wa zamani wa WBO ambaye amecheza mapambano 35 na alipoteza mapambano matatu tu
Tofauti ya Liam na Mwakinyo ni umri na idadi ya mapambano waliyocheza. Liam ana miaka 34, Mwakinyo ana miaka 27 na amecheza mapambano 22 ambapo alipoteza mapambano mawili.
Dah😅😅..tudiscuss ya mwakinyo mkuuKama ni hivyo bado anayo nafasi kubwa kufanya makubwa.
Mkuu Kidimbwi linj tena?🤣
Kila la Kheri Mwakinyo..! Mandonga mtu KAZI ngumi jiwe alijitamba akapigwa, wewe usifanye hivyoBaada ya kimya cha muda mrefu kilichomfanya bondia wa Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Marekani, Hassan Mwakinyo kupoteza baadhi ya mikanda, bondia huyo atarejea ulingoni Septemba 3, 2022
Hassan Mwakinyo anatarajia kupigana na Liam Smith bingwa wa zamani wa WBO ambaye amecheza mapambano 35 na alipoteza mapambano matatu tu
Tofauti ya Liam na Mwakinyo ni umri na idadi ya mapambano waliyocheza. Liam ana miaka 34, Mwakinyo ana miaka 27 na amecheza mapambano 22 ambapo alipoteza mapambano mawili.
You're very against mwakinyo..unajua nyingi kila comment zako...unajua nini..wewe mungu...toka zako hapaNimecheki mapambano ya Liam smith,mwamba ni mbishi na hatari sana round za mwisho,
Natandika mkeka wangu nampa mwakinyo japo najua atoboi.
Punguza mihemko mkuu,You're very against mwakinyo..unajua nyingi kila comment zako...unajua nini..wewe mungu...toka zako hapa
Ushindi wa Mwakinyo ni kuvuka round 6Nimecheki mapambano ya Liam smith,mwamba ni mbishi na hatari sana round za mwisho,
Natandika mkeka wangu nampa mwakinyo japo najua atoboi.
Pambano ni round 12.Pambano saa ngapi?
Huyu mtoto Mwakinyo ana laana ya kuwatukana viongozi wa ngumi Tanzania.You're very against mwakinyo..unajua nyingi kila comment zako...unajua nini..wewe mungu...toka zako hapa