Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Baada ya kimya cha muda mrefu kilichomfanya bondia wa Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Marekani, Hassan Mwakinyo kupoteza baadhi ya mikanda, bondia huyo atarejea ulingoni Septemba 3, 2022.
Hassan Mwakinyo anatarajia kupigana na Liam Smith bingwa wa zamani wa WBO ambaye amecheza mapambano 35 na alipoteza mapambano matatu tu.
Tofauti ya Liam na Mwakinyo ni umri na idadi ya mapambano waliyocheza. Liam ana miaka 34, Mwakinyo ana miaka 27 na amecheza mapambano 22 ambapo alipoteza mapambano mawili.
Hassan Mwakinyo anatarajia kupigana na Liam Smith bingwa wa zamani wa WBO ambaye amecheza mapambano 35 na alipoteza mapambano matatu tu.
Tofauti ya Liam na Mwakinyo ni umri na idadi ya mapambano waliyocheza. Liam ana miaka 34, Mwakinyo ana miaka 27 na amecheza mapambano 22 ambapo alipoteza mapambano mawili.