Hassan Mwakinyo kwa kutua kwako bungeni umejitafutia laana ya bure kabisa

Hassan Mwakinyo kwa kutua kwako bungeni umejitafutia laana ya bure kabisa

Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !

Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?

Majuto ni mjukuu .
Wewe ni nabii
 
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !

Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?

Majuto ni mjukuu .
Bunge la wachawi
 
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !

Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?

Majuto ni mjukuu .
Asee unaona mbali... na sasa yametimia.. lilikuwa ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom