BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Duhh🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38] sitajibu chochote , amini tu kwamba mimi ni mpinga shetaniErythrocyte wewe ni imani/dini gani kamanda? Leo utaniona wa ajabu kukuuliza hili swali [emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38] sitajibu chochote , amini tu kwamba mimi ni mpinga shetani
Noma kweli yaaniHaya kamanda wangu, usiku mwema![emoji2]
Tulionya kitambo sana lakini tukapuuzwaKala kichapo heavy huko,laana hah
Mwakinyo angeshinda na Stars ingeshinda pongezi angepewa Samia!Bado hamjaelewa tu jamani ?
Duuh, we jamaaNimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana!
Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania, Matumla, Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo, labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi, jaribu kutafakari kabla ya kuamua, hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania, kwani ngumi umeanza jana? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe?
Majuto ni mjukuu.
Scientific evidence ya uhusiano baina ya kupigwa kwa Mwakinyo na kuingia bungeni haipo. Anthony Joshua alipigwa mwezi jana, kaingia bunge lipi?Bado hamjaelewa tu jamani ?
Kinachowapeleka Bungeni ni kaurubuniwa ionekane CCM Inasaidia wanamichezo. Ndo maana utasikia "tunamshukuru sana Mama" kwa ushindi. Tumeona na kusikia Mkuu wa mkoa wa Tanga akijinasibu hadharani kisiasa kumsapoti Mwakinyo na kusema ndo Ilani inavyotaka.Scientific evidence ya uhusiano baina ya kupigwa kwa Mwakinyo na kuingia bungeni haipo. Anthony Joshua alipigwa mwezi jana, kaingia bunge lipi?
Tuseme na mabondia wengine wanaopigwa huwa wamepitia bungeni. Kila kitu mnalazimisha kiwe CCM vs Chadema
Hata wewe bavicha unalaana Si upo bungeni kama COVID-19Tulionya kitambo sana lakini tukapuuzwa
unaandika uongo kwa faida ya nani ?Hata wewe bavicha unalaana Si upo bungeni kama COVID-19
Hii ndio JFAisee...
Msamehe mkuu.Hii ndio JF