Hassan Mwakinyo kwa kutua kwako bungeni umejitafutia laana ya bure kabisa

Duuh, we jamaa
 
Bado hamjaelewa tu jamani ?
Scientific evidence ya uhusiano baina ya kupigwa kwa Mwakinyo na kuingia bungeni haipo. Anthony Joshua alipigwa mwezi jana, kaingia bunge lipi?
Tuseme na mabondia wengine wanaopigwa huwa wamepitia bungeni. Kila kitu mnalazimisha kiwe CCM vs Chadema
 
Scientific evidence ya uhusiano baina ya kupigwa kwa Mwakinyo na kuingia bungeni haipo. Anthony Joshua alipigwa mwezi jana, kaingia bunge lipi?
Tuseme na mabondia wengine wanaopigwa huwa wamepitia bungeni. Kila kitu mnalazimisha kiwe CCM vs Chadema
Kinachowapeleka Bungeni ni kaurubuniwa ionekane CCM Inasaidia wanamichezo. Ndo maana utasikia "tunamshukuru sana Mama" kwa ushindi. Tumeona na kusikia Mkuu wa mkoa wa Tanga akijinasibu hadharani kisiasa kumsapoti Mwakinyo na kusema ndo Ilani inavyotaka.
 
Mwakinyo sijui kala sh ngapi kwa kuuza pambano ili kumpandisha Liam smith, ilo halipingiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…