Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
Bondia Hassan Mwakinyo amesema Kwamba hawezi kupigana kugombania gari kwasababu hana shida ya gari kwani ana magari matatu na kati ya hayo kuna moja anatumia kupeleka Mbwa wake Baharini kuogeshwa.
Huyo ndo Mwakinyo bwana Mdigo mwenye maneno yake.
Bado mnataka apigane na Twaha Kiduku?
Huyo ndo Mwakinyo bwana Mdigo mwenye maneno yake.
Bado mnataka apigane na Twaha Kiduku?