Hassan Mwakinyo: Nina magari matatu. Moja analitumia kumpeleka mbwa baharini kuogeshwa

Hassan Mwakinyo: Nina magari matatu. Moja analitumia kumpeleka mbwa baharini kuogeshwa

Huyu mdigo Mwakinyo simuoni mbali tena ktk career yake

Dharau za watu wenye mafanikio zipo ila sio kama zake
Kwa hizi kauli ni dhahiri amesha ridhika na hela ajitahidi tu awe amefanya investment maana career ya ngumi huwa haidumugi sana!
Asije akawa anaonge huku anachomiliki ni nyumba ya mama yake aliomjengea na gari zake tatu ambazo bila shaka ni Toyota tu😅
 
Kwa hizi kauli ni dhahiri amesha ridhika na hela ajitahidi tu awe amefanya investment maana career ya ngumi huwa haidumugi sana!
Asije akawa anaonge huku anachomiliki ni nyumba ya mama yake aliomjengea na gari zake tatu ambazo bila shaka ni Toyota tu😅
Hapa acha niongee kama mtu wa Camp ya Mwakinyo a boy is furry kwa Twaha Kwan hadi anapiga nyanga ili Mwakinyo apigike na yeye apandie hapo so ukiona Mwakinyo anamuongelea Twaha na yoyote wa Camp ya Twaha usishangae sana na Mwakinyo kwa kiwango chake anavi investment kadhaa rejea uhusiano wake na FA na Camp yake kwa ujumla sio starehe sana na ni watu wenye senti
 
Hapa acha niongee kama mtu wa Camp ya Mwakinyo a boy is furry kwa Twaha Kwan hadi anapiga nyanga ili Mwakinyo apigike na yeye apandie hapo so ukiona Mwakinyo anamuongelea Twaha na yoyote wa Camp ya Twaha usishangae sana na Mwakinyo kwa kiwango chake anavi investment kadhaa rejea uhusiano wake na FA na Camp yake kwa ujumla sio starehe sana na ni watu wenye senti
Ahaa kama FA amembeba maana yake mkondo wa GSM unasimamiaga show zake means hela atakuwa nayo tu😅
 
Kwa wanaolewa maana ya Brand, Mwakinyo yuko sahihi

Kiduku ni bondia poli,

Hapa ni sawa na ile kulazimisha Kiba awe mkubwa kama Mondi wakati kwa ground ni mbingu na ardhi

Namshauli kiduku akuze Brand yake, dunia imjue kwanza ndo aombe mechi na Super Star Mwakinyo.
Mkuu unajua kusoma na kuandika au wajua kusoma tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti na wewe unatoa ushauri kuhusu brand
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
bila shaka mtakuwa mmeelewa hawa wote, ubaunsa wao upo kwenye ulimi, full kuchonga....
Mdomo na ubora ndo unaleta mvuto kwenye masumbwi chifu unafikiri kwa nini tumekesha sana kuangalia mapambano ya Mayweather hii miaka ya karibun? Honestly ni kwa sababu ya maneno yake ya shombo kwa wapinzani kuanzia kwa Pacquiao hadi Conor ukiongezea na ubora wake ndo thaman inakua juu maradufu
 
Mwakinyo ni bondia mzuri lakini awe anachagua maneno ya kuongea wakati anazungumza na vyombo vya habari. Na sio kila kitu cha kujibu kwenye "media" kwani inajulikana wazi jinsi baadhi ya waandishi wetu wanavyopendwa kukuza mambo na wakati mwingine hawachelewi kubadilisha maana ili wafikie lengo wanalolitaka wao.

Kwa upande wangu namuunga mkono Mwakinyo kutokupigana na wakina Twaha Kiduku. Hawa wakina Kiduku kwanini hawaendi huko nje kupiga wazungu waweke rekodi zao ili tuwe na mabondia wengi wenye hadhi kama ya Mwakinyo. Wao kila siku wakienda wanapigwa huko halafu wanakuja kuwatisha wenzao eti msiende Urusi jamaa wana ngumi kama mawe. Wengine wanarudi wanatudanganya eti majaji wamependelea bondia wa kwao. Yupo mwingine bondia mkubwa tena maarufu sana hapa bongo aliingia ulingoni huko nje hakupigwa hata ngumi ya maana akajiuzulu pambano na mzungu kupewa ushindi. Kwa ninavyoujua mchezo wa ngumi huwa hauna longo longo wewe ingia ulingoni piga mzungu KO kama Mwakinyo alivyofanya halafu tuone hao majaji wa kizungu wataamuaje.
 
Kwa ninavyoujua mchezo wa ngumi huwa hauna longo longo wewe ingia ulingoni piga mzungu KO kama Mwakinyo alivyofanya halafu tuone hao majaji wa kizungu wataamuaje.
Nakubaliana na wewe kwa kila kitu chifu KO ndo dawa ya wanaobebwa
 
Mchezo wa ngumi unahitaji trash talking ili kuongeza mvuto zaidi, Conor McGregor wana mrank kama fighter number 1 UFC .. sio kwa sababu ya uwezo tu wa kupigana bali trash talking pia, sababu kama ni record kuna watu wana record zakutisha kama khabib nurmagomedov lakini wapo chini ya McGregor .. hivyo mwakinyo yupo correct kuongea anachoweza kuongea .. boxing inataka hivyo ..
 
Kwa hizi kauli ni dhahiri amesha ridhika na hela ajitahidi tu awe amefanya investment maana career ya ngumi huwa haidumugi sana!
Asije akawa anaonge huku anachomiliki ni nyumba ya mama yake aliomjengea na gari zake tatu ambazo bila shaka ni Toyota tu😅

anayo IST, Subaru na gari gani sijui ile nyingine nimeisahau (hiyo ndio anampakia mbwa wake akienda muogesha baharini) 🤭🤭🤭
 
Mkuu wadigo kwa majivuno ndo walivyo halafu pia majibu haya ni kwa ajili ya kuepuka kupigana na Twaha Kiduku kwa kusudio la Kuendelea kuilinda brand kama Bondia namba moja nchini na Africa
Wadigo hawafai kabisa kwa majivuno,Muhaya weka mbali. Kuna dogo mmoja nilisoma nae Chuo Kikuu nilimpita miaka miwili ni Mdigo aisee sasa hivi ana kiCPA anavyoringa
 
Back
Top Bottom