Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Ni kawaida ya haya mambo kuendana na Hype na Majivuno ya Hapa na Pale; yanasaidia kuuza pambano na kuwapa publicity, asingesema hivyo wewe usingeleta hapa huu uzi wala mimi nisingechangia na kwa wasiomjua wangeendelea kutokumjua...
Its just a Sense of Humour....
Its just a Sense of Humour....