Kwa hizi kauli ni dhahiri amesha ridhika na hela ajitahidi tu awe amefanya investment maana career ya ngumi huwa haidumugi sana!Huyu mdigo Mwakinyo simuoni mbali tena ktk career yake
Dharau za watu wenye mafanikio zipo ila sio kama zake
Hapa acha niongee kama mtu wa Camp ya Mwakinyo a boy is furry kwa Twaha Kwan hadi anapiga nyanga ili Mwakinyo apigike na yeye apandie hapo so ukiona Mwakinyo anamuongelea Twaha na yoyote wa Camp ya Twaha usishangae sana na Mwakinyo kwa kiwango chake anavi investment kadhaa rejea uhusiano wake na FA na Camp yake kwa ujumla sio starehe sana na ni watu wenye sentiKwa hizi kauli ni dhahiri amesha ridhika na hela ajitahidi tu awe amefanya investment maana career ya ngumi huwa haidumugi sana!
Asije akawa anaonge huku anachomiliki ni nyumba ya mama yake aliomjengea na gari zake tatu ambazo bila shaka ni Toyota tu😅
Ahaa kama FA amembeba maana yake mkondo wa GSM unasimamiaga show zake means hela atakuwa nayo tu😅Hapa acha niongee kama mtu wa Camp ya Mwakinyo a boy is furry kwa Twaha Kwan hadi anapiga nyanga ili Mwakinyo apigike na yeye apandie hapo so ukiona Mwakinyo anamuongelea Twaha na yoyote wa Camp ya Twaha usishangae sana na Mwakinyo kwa kiwango chake anavi investment kadhaa rejea uhusiano wake na FA na Camp yake kwa ujumla sio starehe sana na ni watu wenye senti
Mkuu unajua kusoma na kuandika au wajua kusoma tu?Kwa wanaolewa maana ya Brand, Mwakinyo yuko sahihi
Kiduku ni bondia poli,
Hapa ni sawa na ile kulazimisha Kiba awe mkubwa kama Mondi wakati kwa ground ni mbingu na ardhi
Namshauli kiduku akuze Brand yake, dunia imjue kwanza ndo aombe mechi na Super Star Mwakinyo.
Mdomo na ubora ndo unaleta mvuto kwenye masumbwi chifu unafikiri kwa nini tumekesha sana kuangalia mapambano ya Mayweather hii miaka ya karibun? Honestly ni kwa sababu ya maneno yake ya shombo kwa wapinzani kuanzia kwa Pacquiao hadi Conor ukiongezea na ubora wake ndo thaman inakua juu maradufubila shaka mtakuwa mmeelewa hawa wote, ubaunsa wao upo kwenye ulimi, full kuchonga....
Ofcoz chifu acha atambeAhaa kama FA amembeba maana yake mkondo wa GSM unasimamiaga show zake means hela atakuwa nayo tu😅
kama Manara vile 😀Hao ndio wadigo, hapi akitoa majibu kwa wapogoro...wote hawa wana vinasaba na wazaramo...
Nakubaliana na wewe kwa kila kitu chifu KO ndo dawa ya wanaobebwaKwa ninavyoujua mchezo wa ngumi huwa hauna longo longo wewe ingia ulingoni piga mzungu KO kama Mwakinyo alivyofanya halafu tuone hao majaji wa kizungu wataamuaje.
Kwa hizi kauli ni dhahiri amesha ridhika na hela ajitahidi tu awe amefanya investment maana career ya ngumi huwa haidumugi sana!
Asije akawa anaonge huku anachomiliki ni nyumba ya mama yake aliomjengea na gari zake tatu ambazo bila shaka ni Toyota tu😅
Haya ni matusi kwa Promoters. sikufikiria kama wa hovyo hivi angebaki kutambia Twaha Kiduku tuUsipigane, lakini maneno yenye dharau sio.
Tatizo la mswahili akipata....
Wadigo hawafai kabisa kwa majivuno,Muhaya weka mbali. Kuna dogo mmoja nilisoma nae Chuo Kikuu nilimpita miaka miwili ni Mdigo aisee sasa hivi ana kiCPA anavyoringaMkuu wadigo kwa majivuno ndo walivyo halafu pia majibu haya ni kwa ajili ya kuepuka kupigana na Twaha Kiduku kwa kusudio la Kuendelea kuilinda brand kama Bondia namba moja nchini na Africa
Mbabe aliopigana mapambano 17 na kupigwa 8.Si tunamjua Twaha kiduku ndo mbabee hapa bongo.
Kama anabisha angie ulingoni.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wadigo wengi Wana exposure lakini, wamejaa South Africa kuliko Dar.Wadigo hawafai kabisa kwa majivuno,Muhaya weka mbali. Kuna dogo mmoja nilisoma nae Chuo Kikuu nilimpita miaka miwili ni Mdigo aisee sasa hivi ana kiCPA anavyoringa
Huyo kiduku mwenyewe kwangu hatingishi nyavu kama vipi mstue tuzichape live.Si tunamjua Twaha kiduku ndo mbabee hapa bongo.
Kama anabisha angie ulingoni.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hapa unazungumzia promoters au watu Gan hao mkuuHuyu Mwakinyo kuna watu akicheza nao vibaya kwenye nchi hii, hakika tunamsahau kwenye tasnia ya ngumi