Hassan Mwakinyo: Siogopi mabondia wenye miili mikubwa hasa wapaka pico

Hassan Mwakinyo: Siogopi mabondia wenye miili mikubwa hasa wapaka pico

Ni vema angekaa kimya, kama hataki kupigana nae, hapaswi kuleta maneno maneno,
Mwakinyo alipata nafasi nzuri brand yake ikakuwa, lakini uswahili na kutokujielewa vinamshusha taraatibu.

Mara ya kwanza nilimuelewa saana alipokataa kupigana na kiduku(kwa sababu fulani fulani nilimuona yupo sahihi kabisa), akahamia marekani nikasema yes, sasa hivi wabongo titakuwa na professional boxer kweli kweli sio PROFESHNO BOKSA, Lakini toka auze pambano la uingereza, kisha huku analeta nyodo za kishoga naona anajiharibia tu.
Maneno na vitisho kwa mabondia ni kawaida, sijui kwanini mnakerwa na Mwankinyo kiasi hiki.
Isitoshe yeye ni mwanaume wa Pwani, Tena pwani yenyewe ni Tanga, mnategemea nini zaidi
 
Yaani huyo Mwakinyo akae tu kwa kutulia amalizie zile pesa alizohongwa akauza pambano. Yaani sala za watanzania wengi tuliokuwa tunamuombea ashinde lile pambano na uwezo alikuwa nao halafu mwenzetu kumbe kauza mechi. Nina hakika zile sala zimegeuka laana kwake ndio maana kila anachogusa sasa anakula za uso kabakia tu kuweweseka na mipasho mingi na anagombana na kila mtu. Yaani Mwakinyo bila kutubu kwa Mungu na kuwaomba radhi watanzania kwa kosa la kuuza mechi (tena aliuza kijinga kabisa kila mwenye akili akagundua) basi ngumi ndio bai bai atafute tu kazi/biashara nyingine ya kufanya.
Eti viatu vilinibana.

Mwakinyo hamna kitu
 
Kiduku watu wanakaa wanamsifia kila pambano analopigana nje huwa anagongwa.... Japo watu wanamchukia mwakinyo lakini at least ameonyesha uwezo
 
Mwakinyo ni limbukeni flani fala Sana[emoji29]
Boxing inataka hivyo.

Ni mchezo fulani wa kejeri, majigambo ,tambo nyingi ili tu kupromoti mapambano yaingize pesa ndefu.

Kuna ambao watalipa pesa ili waone Mwakinyo atakavyodundwa na kuna ambao watalipa pesa ili kuona Mwakinyo akishinda lakini wote hao kwa ujumla wamelipa.
 
Boxing lazima maneno majigambo yawepo

Ova
Naaam, na bondia ukikosa zile amsha amsha hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani ni ngumu kuingiza pesa nyingi.

Ngoja nikupe mfano wa baadhi ya mabondia licha ya kuwa na uwezo mkubwa lakini hawana amsha amsha.

1)Bivol 2)Munguia 3)Jaron Ennis (Boots) 4)Ibrahim
Class 5)Terence Crawford
 
Maneno yanaenda na vitendo, kama hana moango wa kupigana na kiduku ampotezee tu, ligi za maneno aweke na watu wa hadhi yake.
Mwakinyo anasaka mapambano kwa sasa kwa nguvu zote maana ana nyota 2 na nusu hivyo anazidiwa na maboxer wengi hapa TZ na ni ngumu kwa yeye kupata fight ya maana.

Pia kuna mapromota wengi walimpiga chini kitambo hivyo kama anajirudi kimtindo .
 
Alizingua sehemu 3.

1)Moja kugomea mara kwa mara mapambano ya kutetea mikanda yake hivyo akavuliwa ubingwa.

2)Kutopigana kwa muda mrefu.

3)Kukubali kupoteza kizembe ile mechi dhidi ya Liam Smith maana aliona mbinu zake zote zimegonga mwamba kitakachofuatia hapa ni kipigo kitakatifu mwisho wa siku nitaishia kudhalilika.

Ile mechi ilishuhudiwa na mabondia wengi wakubwa na mbaya zaidi ilikuwa ni Main Card na watu wamelipa pesa zao ndefu, hivyo main card kuisha kijinga vile ikapelekea baadhi ya nchi kumpiga stop kwenda nchini mwao kupigana na nyota akashushwa kutoka nne mpaka nyota 2 na nusu.

Fadhili Majiha ana nyota nne na nusu ila hajielewi nimeona kuna uwezekano akapigana na Tonny Rashid.
Kwenye maisha unahitaji BAHATI nzuri. Kisha unahitaji akili, ukikosa akili nzuri unahitaji MANAGEMENT nzuri saana.
 
Back
Top Bottom