Hassan Nassor Moyo Anaueleza Muungano

Hassan Nassor Moyo Anaueleza Muungano

Mzee unaegemea sana upande wa dini moja. Mohamed Said why? why? why?
hqdefault.jpg
 
Gily,
Usiogope kusema naandika historia ya Waislam.
Hakika mimi nimefanya utafiti katika historia ya mchango wa Waislam katika historia ya Tanzania kwa kuwa haikuwapo.
Hata Uislam utakuwa unafundisha kupenda watu wengine sidhani kama unabagua. Ila kwa nini ubague? Tanzania ni ya waislam pekee? wakati Uislam unaletwa ardhi yetu ilikaliwa na waislam? My mission this year will be:
hxd9exygfda11.png
 
Nakuombea sana Mzee wangu Mungu akupe maisha marefu ili uweze kujua unakosea wapi. Unaniangusha sana 😢
 
Gily,
Usiogope kusema naandika historia ya Waislam.

Hakika mimi nimefanya utafiti katika historia ya mchango wa Waislam katika historia ya Tanzania kwa kuwa haikuwapo. Kwani hairuhusiwi?



343676009_760444349001606_320054015518593838_n.jpg

Kushoto ni Ali Mwinyi Tambwe. Alifanya kazi kubwa katika kuiangusha serikali ya Sheikh Mohamed Shamte Historia yake inapatikana katika kitabu cha Dr. Harith Ghassany, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' (2010).​
 
Gily,
Usiogope kusema naandika historia ya Waislam.
Hakika mimi nimefanya utafiti katika historia ya mchango wa Waislam katika historia ya Tanzania kwa kuwa haikuwapo.
Sijawah kataa kuwa waislam hawakuw na mchango wao katika uhuru. Naona unatumia nguvu nyingi kama kulikuwa na muislam akipigania uhuru utatumia kuandika mchango wa waislam. Je wakati hao unaita waislam wanagombania kudai uhuru waligombania kama waislam au kama watu waliokuwa oppressed kudai haki zao? very sad 😔 😟 🙁 😥
 
Nakuombea sana Mzee wangu Mungu akupe maisha marefu ili uweze kujua unakosea wapi. Unaniangusha sana 😢
Gilly,
Nimekosea kukaa kitako nikaandika historia ya wazee wangu iliyokuwa imefutwa?

Hivi unajua kuwa mwaka wa 1977 Jopo lililokuwa linaandika historia ya TANU likiongozwa na Dr. Mayanja Kiwanuka walikataa kupokea notes za Hassan Upeka aliyekuwa mmoja wa watafiti katika hilo jopo juu ya kueleza kuwa hizo notes zinatokana na mazungumzo aliyofanya na Abdul Sykes kabla ya kifo chake kuhusu historia ya TANU?

Dr. Kiwanuka alimwambia Hassan Upeka kuwa historia ya TANU haina uhusiano wowote na maisha ya Abdul Sykes.

Haya kanieleza Hassan Upeka ambae alikuwa TANU Intelligence kuanzia mwaka wa 1956 alipomaliza masomo yake Tabora School.

Upeka alipojua kuwa naandika kitabu cha Abdul Sykes alinisaidia kufungua milango ya Maktaba ya CCM Dodoma na nilikwenda na kufanya utafiti.
 
Sijawah kataa kuwa waislam hawakuw na mchango wao katika uhuru. Naona unatumia nguvu nyingi kama kulikuwa na muislam akipigania uhuru utatumia kuandika mchango wa waislam. Je wakati hao unaita waislam wanagombania kudai uhuru waligombania kama waislam au kama watu waliokuwa oppressed kudai haki zao? very sad 😔 😟 🙁 😥
Gilly,
Uislam ulichukua mafasi kubwa sana katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Unaujua mchango wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika katika kupigania uhuru wa Tanganyika?

Chama hiki kiliundwa mwaka wa 1933 baada ya wazee wangu kuunda African Association 1929.

Hujui historia ya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika TANU?

Hujui historia ya Iddi Faiz katika historia ya TANU?

Hujiulizi kwa nini hawa hawatajwi pamoja na Julius Nyerere katika kupigania uhuru wa Tanganyika?

Au hujui kuwa safari ya kwanza UNO 1955 mkusanyanyi wa fedha za safari alikuwa Iddi Faiz Mafongo Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na Mweka Hazina wa TANU?

Hujui kuwa hafla ya kumuaga Nyerere safari ya UNO ilifanyika katika jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika?

Nani alifuta historia hii?

Leo mimi kuiandika ndiyo wewe unakereka.

Unakerwa na mimi kuandika historia hii ya watu ambao mimi baadhi ni babu zangu na wengine ni bibi, mama, wajomba na shangazi?

Unakereka kwa kuwa hawa ni Waislam.

Ulitakaje?

Tubaki na ile historia iliyojaa makosa tele?
 
Gilly,
Nimekosea kukaa kitako nikaandika historia ya wazee wangu iliyokuwa imfutwa?
Hivi unajua kuwa mwaka wa 1977 Jopo lililokuwa linaandika historia ya TANU likiongozwa na Dr. Mayanja Kiwanuka walikataa kupokea notes za Hassan Upeka aliyekuwa mmoja wa watafiti katika hilo jopo juu ya kueleza kuwa hizo notes zinatokana na mazungumzo aliyofanya na Abdul Sykes kabla ya kifo chake kuhusu historia ya TANU?

Dr. Kiwanuka alimwambia Hassan Upeka kjuwa historia ya TANU haina uhusiano wowote na maisha ya Abdul Sykes.

Haya kanieleza Hassan Upeka ambae alikuwa TANU Intelligence kuanzia mwaka wa 1956 alipomaliza masomo yake Tabora School.

Upeka alipojua kuwa naandika kitabu cha Abdul Sykes alinisaidia kufungua milango ya Maktaba ya CCM Dodoma na nilikwenda na kufanya utafiti.
Hujakosea hata kidogo kuandika historia ya wazee wako . Unachoandika wewe ni historia ya waislam Tanzania. Ila unataka kulazimisha historia ya waislam ni historia ya Uhuru wa Tanganyika. Kitu ambacho sijakiafiki hata kidogo. .

Pia kwa matatizo chungu nzima yaliyopo nchini nilitegemea historia hii itakuwa chachu ya maendeleo na kukuza uchumi. Leo hii mzee wangu Mohamed, historia yako hii unayoizungumzia I am Komba vipi mtanzania? inampatia vipi uhuru wa kifikra na maendeleo ya kiuchumi watanzania?

Nakubali juhudi zako na Yesu alituachia amri kuu nayo ni Upendo. Naomba ubadilike usipotoshe. I am very sad 😔 😟 🙁
2u95ry.jpg
 
Gilly,
Uislam ulichukua mafasi kubwa sana katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Unaujua mchango wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika katika kupigania uhuru wa Tanganyika?

Chama hiki kiliundwa mwaka wa 1933 baada ya wazee wangu kuunda African Association 1929.

Hujui historia ya Mufti Sheikh Hassan bin Ameir katika TANU?
Hujui historia ya Iddi Faiz o katika historia ya TANU?

Hujiulizi kwa nini hawatajwi pamoja na Julius Nyerere katika kupiogania uhuru wa Tanganyika?

Au hujui kuwa safari ya kwanza UNO 1955 mkusanyanyi wa fedha za safari alikuwa Iddi Faiz Mafongo Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na Mweka Hazina wa TANU?

Hujui kuwa hafla ya kuuaga Nyerere safari ya UNO ilifanyika katika jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika?

Nani alifuta historia hii?
Leo mimi kuiandika ndiyo wewe unakereka.

Unakerwa na mimi kuandika historia hii ya watu ambao mimi baadhi ni babu zangu na wengine ni bibi, mama, wajomba na shangazi?

Unakererka kwa kuwa hawa ni Waislam.
Ulitakaje?

Tubaki na ile historia iliyojaa makosa tele?
Unaenda kasi sana Je TANU ilikuwa ya waislam? mchango Sheikh Hassan wake alitoa kama mwana TANU ila sio kama muislam. Wekahazina wa Faiz Mafongo ulikuwa ni kwa sababu ni Muislam?

Kuna watu waliandika historia wakawasau waislam, wewe umekuja kurekebisha historia au kukosea historia? Je mbona historia yako imewasau juhudi za wengine ambao sio waislam?

Sijakerwa hakuna sehemu nimeandika nimekerwa. I am very sad hata wewe ambae nilitegemea utajenga unabomoa🙁

Sina shida, kinyongo, kero, dukuduku wala hasira na wewe mzee wangu Mohamed Said. Nina mashaka tu na historia yako, si jingine. .
 
Unaenda kasi sana Je TANU ilikuwa ya waislam? mchango Sheikh Hassan wake alitoa kama mwana TANU ila sio kama muislam. Wekahazina wa Faiz Mafongo ulikuwa ni kwa sababu ni Muislam?

Kuna watu waliandika historia wakawasau waislam, wewe umekuja kurekebisha historia au kukosea historia? Je mbona historia yako imewasau juhudi za wengine ambao sio waislam?

Sijakerwa hakuna sehemu nimeandika nimekerwa. I am very sad hata wewe ambae nilitegemea utajenga unabomoa🙁

Sina shida, kinyongo, kero, dukuduku wala hasira na wewe mzee wangu Mohamed Said. Nina mashaka tu na historia yako, si jingine. .
Ni kama wewe na mkeo mpate watoto, na maisha yenu yakawa ya mafanikio na watoto waka fanikiwa pia

Baada ya hapo masalani mkatengana na mkeo kwa namna yoyote iwe nia njema Au kinyume chake

Baadae historia ya familia ina kuondoa na watoto wana pewa majina ya wajomba na wajomba ndio wana onekana nyuma ya mafanikio ya wanao na familia yako na wewe haunekani popote katika familia yako kama uli fanya jema au chochote kizuri kwa ajili ya familia yako mpaka kufika hapo

Sasa ikaja tokea mdogo wako au mtoto wa mdogo wako au kaka yako ndio ana kuja kufanya tafiti na kugundua baba yake mdogo au mkubwa amechafuliwa kwa makusudi sio kama inavyo elezwa

Na watu kutoka nje na ndani ya familia au ukoo nao una fanya tafiti na kugundua ni kweli, tafiti hizo wakatafuta watu walio shirikiana na wewe ktk shughuli mbalimbali za kimaisha na kuthibisha wewe ni mtu mwema na ume fanya jitihada kubwa kwa ajili ya familia yako kufika pale

Je, hawa watu wana kuwa wabaguzi? Wame fanya kosa? Au tuwa iteje?
 
Hujakosea hata kidogo kuandika historia ya wazee wako . Unachoandika wewe ni historia ya waislam Tanzania. Ila unataka kulazimisha historia ya waislam ni historia ya Uhuru wa Tanganyika. Kitu ambacho sijakiafiki hata kidogo. .

Pia kwa matatizo chungu nzima yaliyopo nchini nilitegemea historia hii itakuwa chachu ya maendeleo na kukuza uchumi. Leo hii mzee wangu Mohamed, historia yako hii unayoizungumzia I am Komba vipi mtanzania? inampatia vipi uhuru wa kifikra na maendeleo ya kiuchumi watanzania?

Nakubali juhudi zako na Yesu alituachia amri kuu nayo ni Upendo. Naomba ubadilike usipotoshe. I am very sad 😔 😟 🙁
View attachment 2601567
Gill...
Sijalazimisha chochote.

Waliolazimisha ni wale waliofuta historia ya kweli wakapachika yao.

Mimi nimesahihisha historia hiyo sasa historia ya uhuru wa Tanganyika tunaisoma upya.

Bahati mbaya wewe huipendi unataka tubakie na historia ile ya zamani.
 
Gill...
Sijalazimisha chochote.
Waliolazimisha ni wale waliofuta historia ya kweli wakapachika yao.

Mimi nimesahihisha historia hiyo sasa historia ya uhuru wa Tanganyika tunaisoma upya.

Bahati mbaya wewe huipendi unataka tubakie na historia ile ya zamani.
Hapana napenda historia ila hata ya kwako ina mapungufu makubwa. Hilo unalijua na naamini kama unalijua linatosha. Ukweli humuweka mtu huru siku zote. .
 
Ni kama wewe na mkeo mpate watoto, na maisha yenu yakawa ya mafanikio na watoto waka fanikiwa pia

Baada ya hapo masalani mkatengana na mkeo kwa namna yoyote iwe nia njema Au kinyume chake

Baadae historia ya familia ina kuondoa na watoto wana pewa majina ya wajomba na wajomba ndio wana onekana nyuma ya mafanikio ya wanao na familia yako na wewe haunekani popote katika familia yako kama uli fanya jema au chochote kizuri kwa ajili ya familia yako mpaka kufika hapo

Sasa ikaja tokea mdogo wako au mtoto wa mdogo wako au kaka yako ndio ana kuja kufanya tafiti na kugundua baba yake mdogo au mkubwa amechafuliwa kwa makusudi sio kama inavyo elezwa

Na watu kutoka nje na ndani ya familia au ukoo nao una fanya tafiti na kugundua ni kweli, tafiti hizo wakatafuta watu walio shirikiana na wewe ktk shughuli mbalimbali za kimaisha na kuthibisha wewe ni mtu mwema na ume fanya jitihada kubwa kwa ajili ya familia yako kufika pale

Je, hawa watu wana kuwa wabaguzi? Wame fanya kosa? Au tuwa iteje?
Challah...
Inaelekea hujasoma kitabu cha Abdul Sykes.
 
Hapana napenda historia ila hata ya kwako ina mapungufu makubwa. Hilo unalijua na naamini kama unalijua linatosha. Ukweli humuweka mtu huru siku zote. .
Gill...
Unakusudia upungufu upi?
Kuwa nimeandika historia ya uongo?
 
Unaenda kasi sana Je TANU ilikuwa ya waislam? mchango Sheikh Hassan wake alitoa kama mwana TANU ila sio kama muislam. Wekahazina wa Faiz Mafongo ulikuwa ni kwa sababu ni Muislam?

Kuna watu waliandika historia wakawasau waislam, wewe umekuja kurekebisha historia au kukosea historia? Je mbona historia yako imewasau juhudi za wengine ambao sio waislam?

Sijakerwa hakuna sehemu nimeandika nimekerwa. I am very sad hata wewe ambae nilitegemea utajenga unabomoa🙁

Sina shida, kinyongo, kero, dukuduku wala hasira na wewe mzee wangu Mohamed Said. Nina mashaka tu na historia yako, si jingine. .
Gill...
Ikiwa nimewasahau wengine basi wewe unawajua tuandikie historia zao.
 
Unaenda kasi sana Je TANU ilikuwa ya waislam? mchango Sheikh Hassan wake alitoa kama mwana TANU ila sio kama muislam. Wekahazina wa Faiz Mafongo ulikuwa ni kwa sababu ni Muislam?

Kuna watu waliandika historia wakawasau waislam, wewe umekuja kurekebisha historia au kukosea historia? Je mbona historia yako imewasau juhudi za wengine ambao sio waislam?

Sijakerwa hakuna sehemu nimeandika nimekerwa. I am very sad hata wewe ambae nilitegemea utajenga unabomoa🙁

Sina shida, kinyongo, kero, dukuduku wala hasira na wewe mzee wangu Mohamed Said. Nina mashaka tu na historia yako, si jingine. .
Yaani ye kutajwa kwa Nyerere tu tayari akili yake inakimbilia kwenye ukristo, watu walipigania uhuru kama watanganyika na sio waislamu wala wakristo na ndio maana waliweza kishirikiana pasi na kujali tofauti ya dini zao
 
Naendelea kuwakumbusha kuwa jukumu la uhuru, amani, umoja na mshikamano ndio jadi yetu watanzania na lipo mikononi mwetu.
IMG_8230.jpg

IMG_7912.jpg
 
Back
Top Bottom