Hata humu JF kuna majini aisee!!

Hata humu JF kuna majini aisee!!

Jf... Jf... Jf...

Nimecheka mpaka mkojo unataka kunitoka. Uuuwih!!! Forgive my ribs jamani. Give me a break please
Wewe binti nakumiss nakutafuta sikupati umejichimbia jukwaa la siasa.?
 
Jiandae kwenda kunilimia mashamba yangu ya mpunga
Kama ni shughuli hiyo, njoo nchukue ata saivi! Tena ntakuja na trekta kabisa! Ila ntaiba magunia ya kutosha msimu wa mavuno ukifika!![emoji125] [emoji125]
 
CHIKIRA MTABARI mpaka wewe? Sa itakuaje sasa maana dah...
 
Umeliamsha dude sasa jiandae kutokulala wiki nzima
 
Back
Top Bottom