Hata humu JF kuna majini aisee!!

Aka Katoto Mahondaw katakua jini mahaba maana kila nikiona comment zake napata hamu ya sex ghafla
 
Ukiona hivyo ujue jamaa ana mapepo makali,majina yetu yamejaa wokovu toka kwa babu Asprin

Dah, umenikumbusha kisa kimoja cha Babu Asprin kumtoa mgonjwa mapepo, eti akawa anasema mapepo yamejazana hapa kifuani, baadae akasema yamekimbilia ndani ya sketi, tulipata kazi sana kuyatafuta yale mapepo, sema babu tu ndo alikuwa anayashika.
 
Hee hii ni kesi ya uhaini kwenye mwili wa mtu
Dah, umenikumbusha kisa kimoja cha Babu Asprin kumtoa mgonjwa mapepo, eti akawa anasema mapepo yamejazana hapa kifuani, baadae akasema yamekimbilia ndani ya sketi, tulipata kazi sana kuyatafuta yale mapepo, sema babu tu ndo alikuwa anayashika.
 
Sina comment kwa kuwa ameshamua kuhukumu (kwa sauti ya Chenge na Kafumu walivyowajibu waandishi wa habari walipo wahoji kuhusu kusomwa kwenye ripoti ya madini, hahahahahahahaaah)

Sawa, ila kutojibu kuna maana kuu moja, silence means yes!

Ila shemeji huyu jamaa katukosea sana, yaani eti wewe ni jini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…